WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.

WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
July 2024,Benki ya Dunia imetoa takwimu za Uchumi wa Nchi mbalimbali Duniani.

Taarifa hiyo imeonesha Uchumi wa Tanzania umekua na kuongeza kutoka Dola Bilioni 69 mwaka 2021 Hadi kufikia Dola Bilioni 80 mwaka 2023 ikiwa ni ongezeko kubwa ndani ya mda mfupi.

Kwa mujibu wa Takwimu za Ukuaji wa Pato la Taifa inakadiriwa mwaka 2025 Uchumi wa Tanzania utafikia Dola Bilioni 90 (GDP) kama Kasi ya asilimia 6% itafikiwa.
Screenshot_20240719-152932.jpg
Screenshot_20240719-155232.jpg
Screenshot_20240719-154822.jpg


My Take
Kwa uwekezaji unaoendelea kwenye sekta ya Kilimo na kumiminika Kwa wawekezaji wa ndani na Nje kwenye sekta za viwanda na Biashara,tutarajie Tanzania ya Samia kufikia Uchumi wa GDP ya $ 120 Bilioni mwaka 2030 ambapo tutakuwa sawa au Juu ya Kenya ambayo Ina GDP ya $ 107 Bilion Kwa Sasa.

Hongera Rais Samia & Mwigulu ,juhudi ya jasho lenu zinazaa matunda.

View: https://www.instagram.com/p/C-2mkzNCr-y/?igsh=anh6ZnJmYTU1OGZo
 
July 2024,Benki ya Dunia imetoa takwimu za Uchumi wa Nchi mbalimbali Duniani.

Taarifa hiyo imeonesha Uchumi wa Tanzania umekua na kuongeza kutoka Dola Bilioni 69 mwaka 2021 Hadi kufikia Dola Bilioni 80 mwaka 2023 ikiwa ni ongezeko kubwa ndani ya mda mfupi.

Kwa mujibu wa Takwimu za Ukuaji wa Pato la Taifa inakadiriwa mwaka 2025 Uchumi wa Tanzania utafikia Dola Bilioni 90 (GDP) kama Kasi ya asilimia 6% itafikiwa.
View attachment 3075380View attachment 3075381View attachment 3075382

My Take
Kwa uwekezaji unaoendelea kwenye sekta ya Kilimo na kumiminika Kwa wawekezaji wa ndani na Nje kwenye sekta za viwanda na Biashara,tutarajie Tanzania ya Samia kufikia Uchumi wa GDP ya $ 120 Bilioni mwaka 2030 ambapo tutakuwa sawa au Juu ya Kenya ambayo Ina GDP ya $ 107 Bilion Kwa Sasa.

Hongera Rais Samia & Mwigulu ,juhudi ya jasho lenu zinazaa matunda.

View: https://www.instagram.com/p/C-2mkzNCr-y/?igsh=anh6ZnJmYTU1OGZo

Tanzania ya Mama ni balaa Dunia,

Hii ni rekodi mpya kabisa
 
Per capita ndogo sana!
Na itazidi kuwa ndogo pengine Hadi kuirudisha Nchi kwenye LDC Kwa sababu ongezeko la watu ni kubwa zaidi ya ongezeko la Uchumi.

Soon tukawa kama Ethiopia,Ndio Largest Economy ya Eastern Africa lakini ni LDC.

Acheni kuzaana hovyo.
 
July 2024,Benki ya Dunia imetoa takwimu za Uchumi wa Nchi mbalimbali Duniani.

Taarifa hiyo imeonesha Uchumi wa Tanzania umekua na kuongeza kutoka Dola Bilioni 69 mwaka 2021 Hadi kufikia Dola Bilioni 80 mwaka 2023 ikiwa ni ongezeko kubwa ndani ya mda mfupi.

Kwa mujibu wa Takwimu za Ukuaji wa Pato la Taifa inakadiriwa mwaka 2025 Uchumi wa Tanzania utafikia Dola Bilioni 90 (GDP) kama Kasi ya asilimia 6% itafikiwa.
View attachment 3075380View attachment 3075381View attachment 3075382

My Take
Kwa uwekezaji unaoendelea kwenye sekta ya Kilimo na kumiminika Kwa wawekezaji wa ndani na Nje kwenye sekta za viwanda na Biashara,tutarajie Tanzania ya Samia kufikia Uchumi wa GDP ya $ 120 Bilioni mwaka 2030 ambapo tutakuwa sawa au Juu ya Kenya ambayo Ina GDP ya $ 107 Bilion Kwa Sasa.

Hongera Rais Samia & Mwigulu ,juhudi ya jasho lenu zinazaa matunda.

View: https://www.instagram.com/p/C-2mkzNCr-y/?igsh=anh6ZnJmYTU1OGZo

hizo pesa wanapeleka wapi? Mbona hatuoni miradi mikubwa ya maendeleo ikifanyika? Au ndo wanajenga zanzibar? Maana tanrod nikama imepause hakuna kinachoendelea. Au ndo zinanunua pikipiki za wajumbe wa ccm? Hata miradi iliyoachwa na magufuli baadhi haijaboreshwa na iliyomaliziwa ina kasoro nyingi mfano sgr. Sasa kama uchumi umepanda mbona hatuoni ongezeko la miradi ya maendeleo inayoendana na ongezeko hilo la uchumi?
 
Na itazidi kuwa ndogo pengine Hadi kuirudisha Nchi kwenye LDC Kwa sababu ongezeko la watu ni kubwa zaidi ya ongezeko la Uchumi.

Soon tukawa kama Ethiopia,Ndio Largest Economy ya Eastern Africa lakini ni LDC.

Acheni kuzaana hovyo. Imeandikwa zaeni mkaongezeke mkaijaze dunia sasa dunia bado haijajaa unataka tuache kuzaana? Huo sin mpango wa Mungu
 
hizo pesa wanapeleka wapi? Mbona hatuoni miradi mikubwa ya maendeleo ikifanyika? Au ndo wanajenga zanzibar? Maana tanrod nikama imepause hakuna kinachoendelea. Au ndo zinanunua pikipiki za wajumbe wa ccm? Hata miradi iliyoachwa na magufuli baadhi haijaboreshwa na iliyomaliziwa ina kasoro nyingi mfano sgr. Sasa kama uchumi umepanda mbona hatuoni ongezeko la miradi ya maendeleo inayoendana na ongezeko hilo la uchumi?
Kama huoni ndio vizuri,Baki hivyo hivyo bila kuona 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-cGaNkNehS/?igsh=MXdlYmtzcWllamozMA==
 
July 2024,Benki ya Dunia imetoa takwimu za Uchumi wa Nchi mbalimbali Duniani.

Taarifa hiyo imeonesha Uchumi wa Tanzania umekua na kuongeza kutoka Dola Bilioni 69 mwaka 2021 Hadi kufikia Dola Bilioni 80 mwaka 2023 ikiwa ni ongezeko kubwa ndani ya mda mfupi.

Kwa mujibu wa Takwimu za Ukuaji wa Pato la Taifa inakadiriwa mwaka 2025 Uchumi wa Tanzania utafikia Dola Bilioni 90 (GDP) kama Kasi ya asilimia 6% itafikiwa.
View attachment 3075380View attachment 3075381View attachment 3075382

My Take
Kwa uwekezaji unaoendelea kwenye sekta ya Kilimo na kumiminika Kwa wawekezaji wa ndani na Nje kwenye sekta za viwanda na Biashara,tutarajie Tanzania ya Samia kufikia Uchumi wa GDP ya $ 120 Bilioni mwaka 2030 ambapo tutakuwa sawa au Juu ya Kenya ambayo Ina GDP ya $ 107 Bilion Kwa Sasa.

Hongera Rais Samia & Mwigulu ,juhudi ya jasho lenu zinazaa matunda.

View: https://www.instagram.com/p/C-2mkzNCr-y/?igsh=anh6ZnJmYTU1OGZo



Ni ushamba sana kujisifia uchumi wa $80B kwa nchi kubwa kama yetu yenye watu 64M. Tuache ushamba na ujina wa kiasi hiki. Yaani mtu anajiita msomi anakuwa chawa wa kushabikia uchumi wa $1.25 kwa raia moja!!!!
 
Back
Top Bottom