WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.

WB: Uchumi wa Tanzania (GDP) Umeongezeka na kufikia $ 80 Bilioni mwaka 2023.

Kenya ambayo Ina GDP ya $ 107 Bilion Kwa Sasa.
Mbona hapo juu kwenye graph inasomeka $ 104?

My take: Kama raisi wetu atafanya maamuzi magumu ya hifadhi yetu ya chuma cha Liganga/ Mchuchuma, kama ambavyo mtangulizi wake alivyofanya kwa umeme kule Stigler's gauge, uchumi wetu utakuwa wa kiwango kinachokaribia cha South Africa. Tumshawishi afanye hivyo kwa pesa zetu wenyewe hata kama ni za mkopo. Kiwe mali yetu 100%. PPP au mdudu mwingine asiingie hapa.
 
Mbona hapo juu kwenye graph inasomeka $ 104?

My take: Kama raisi wetu atafanya maamuzi magumu ya hifadhi yetu ya chuma cha Liganga/ Mchuchuma, kama ambavyo mtangulizi wake alivyofanya kwa umeme kule Stigler's gauge, uchumi wetu utakuwa wa kiwango kinachokaribia cha South Africa. Tumshawishi afanye hivyo kwa pesa zetu wenyewe hata kama ni za mkopo. Kiwe mali yetu 100%. PPP au mdudu mwingine asiingie hapa.
Hakuna Cha maamuzi magumu kwenye chuma zaidi ya kuwapa mazingira Rafiki wawekezaji ndio wajenge viwanda ambapo Hadi Sasa Wananchi wamelipwa fidia wamepisha eneo na Mchina Yuko site
 
Back
Top Bottom