WCB: Birthday ya 21 ya mavoko,sherehe tunafanyia South Afrika.

WCB: Birthday ya 21 ya mavoko,sherehe tunafanyia South Afrika.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Wakati msanii Rich Mavoko akifikisha umri wa miaka 21 na hivyo kumfanya kuwa moja ya madogo wachache wanaocontrol industry,uongozi wa WCB umeamua kufanya kitu tofauti kabisa kwa kuporomosha bonge la sherehe maeneo ya South Africa.

WCB wamesema party hiyo iko wazi kwa mtanzania yyt ambaye yuko tayari kujilipia nauli ya kwenda na kurudi .hali hiyo imepokelewa tofauti na wadau wa burudani ambapo wengine wamedai ni njia nzuri ya kuzuia midananda.

Kwa maana nyingine itabidi ulipie nauli ya kwenda na kurudi South Africa ili kupata nafasi ya kupiga selfie na sahani ya chakula.
Mpaka leo asbh mfalme wa mitandao amethibitisha kuwa hatoweza kuhudhuria sherehe hiyo kutokana na gharama za maisha kuwa juu.
Mdau wa burudani nini maoni yako kuhusu Mavoko kushine katika umri mdogo?
 
Uyo mfalme wa mitandao kumbe nae ni njaa tupu!
Mzee wa batazzzz you know..
 
Wakati msanii Rich Mavoko akifikisha umri wa miaka 21 na hivyo kumfanya kuwa moja ya madogo wachache wanaocontrol industry,uongozi wa WCB umeamua kufanya kitu tofauti kabisa kwa kuporomosha bonge la sherehe maeneo ya South Africa.WCB wamesema party hiyo iko wazi kwa mtanzania yyt ambaye yuko tayari kujilipia nauli ya kwenda na kurudi .hali hiyo imepokelewa tofauti na wadau wa burudani ambapo wengine wamedai ni njia nzuri ya kuzuia midananda.
Kwa maana nyingine itabidi ulipie nauli ya kwenda na kurudi South Africa ili kupata nafasi ya kupiga selfie na sahani ya chakula.
Mpaka leo asbh mfalme wa mitandao amethibitisha kuwa hatoweza kuhudhuria sherehe hiyo kutokana na gharama za maisha kuwa juu.
Mdau wa burudani nini maoni yako kuhusu Mavoko kushine katika umri mdogo?
Uchoyo na rohombaya, mcheza kwao hutuzwa!
Mavoko yuko vizuri lakini akumbuke bado sana kimaisha, angetunisha kibubu kwanza bado akiwa na nguvu maisha hayana formula
Msanii Mr Nice alikuwa na uwezo wa kulipia hotel mbili za ghorofa na watu wanywe na kulala bure leo yuko wapi mifano ni mingi lakini akumbuke hili ...money is like melting ice in the sun it never stays
 
Uchoyo na rohombaya, mcheza kwao hutuzwa!
Mavoko yuko vizuri lakini akumbuke bado sana kimaisha, angetunisha kibubu kwanza bado akiwa na nguvu maisha hayana formula
Msanii Mr Nice alikuwa na uwezo wa kulipia hotel mbili za ghorofa na watu wanywe na kulala bure leo yuko wapi mifano ni mingi lakini akumbuke hili ...money is like melting ice in the sun it never stays
Gharama zote ni za wasafi
 
Huyo Mfalme amemtuma nani kumwakilisha[emoji23] [emoji23] le mutuz bhana!
 
Back
Top Bottom