WCB hamko serious na Videos mnazotoa sikuhizi

WCB hamko serious na Videos mnazotoa sikuhizi

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Mwenye macho haambiwi tazama,
kwakweli mmewazingua sana mafans wenu waaminifu.

Kuanzia video Ya MUGACHERERE, KIJUSO, SHOW ME, mpaka video ya KARORERO.

Hizo video hata ambaye hana utaalamu wa video za muziki basi akizitazama atagundua tu kwamba kuna makosa yamejitokeza na let me be honest, muhanga wa kwanza ni mimi.

Siwafichini video zote nilizozimention nimezifuta baada ya kuzitazama
hasahasa hii mpya ya SHOW ME ndo kabisaaaa!

Video vurugu tupu, huyo harmonize ndio katokea kama machinga wa wapi sijui,
Hii inaonyesha dhahiri kwamba hamkujipanga before, mlikurupushana tu na kuingia location na hilo suala litawacost nawaambia.

Narudia tena video ya SHOW ME mbaya mbaya mbaya mbayaaaa.
 
Hawa watu hawana jipya! Nampenda diamond na nyimbo zake sababu zimechangamka and all lakini everything about Wasafi inanikera!!! Wanaigana kila kitu, hamna jipya... Sauti zile zile, wote wanataka imba kama diamond. Yaani creativity ni zero
 
Hawa watu hawana jipya! Nampenda diamond na nyimbo zake sababu zimechangamka and all lakini everything about Wasafi inanikera!!! Wanaigana kila kitu, hamna jipya... Sauti zile zile, wote wanataka imba kama diamond. Yaani creativity ni zero
Alafu nimegundua kwamba sikuhizi Diamond huwa anawaachie waende bondeni pekeyao kushoot video ndomana wanafanya madudu,
 
Mkuu umelazimishwa kuangalia?

Wasanii wapo kibao mshabikie hata Harmorapa usijipe stress maisha yenyewe mafupi haya

Show me ni nzuri iko simple kulinga na aina ya nyimbo
 
Mkuu umelazimishwa kuangalia?

Wasanii wapo kibao mshabikie hata Harmorapa usijipe stress maisha yenyewe mafupi haya

Show me ni nzuri iko simple kulinga na aina ya nyimbo
Muziki ni sawa na mpira tu, sasa kama huo ushauri wako unafanya kazi ungewashauri mashabiki wa arsenal wahamie madrid
 
Mimi mwenyewe hii ya harmonize ya sasa hivi sijaielewa
 
Mimi mwenyewe hii ya harmonize ya sasa hivi sijaielewa
Wakiamua kubadilika na kurudia ubunifu wa zamani uliomfikisha diamond pale refer Number one, Mdogomdogo, ntampata wapi
 
Popular Tanzanian Singer Diamond was heavily trolled by his fans for his poor English aftet using incompleted instead of incomplete.
Sources Classic fm Kenya.
 
Back
Top Bottom