WCB hamko serious na Videos mnazotoa sikuhizi

WCB hamko serious na Videos mnazotoa sikuhizi

Mwenye macho haambiwi tazama,
kwakweli mmewazingua sana mafans wenu waaminifu,
Kuanzia video Ya MUGACHERERE, KIJUSO, SHOW ME, mpaka video ya KARORERO,.!
Hizo video hata ambaye hana utaalamu wa video za muziki basi akizitazama atagundua tu kwamba kuna makosa yamejitokeza,
na let me be honest, muhanga wa kwanza nimimi,
Siwafichini video zote nilizozimention nimezifuta baada ya kuzitazama
hasahasa hii mpya ya SHOW ME ndo kabisaaaa!
Video vurugu tupu, huyo harmonize ndio katokea kama machinga wa wapi sijui,
Hii inaonyesha dhahiri kwamba hamkujipanga before, mlikurupushana tu na kuingia location na hilo suala litawacost nawaambia.
Narudia tena video ya SHOW ME mbaya mbaya mbaya mbayaaaaaaa.
Show me ndo video ipi hiyo mkuu na ya nan
 
Hawa watu hawana jipya! Nampenda diamond na nyimbo zake sababu zimechangamka and all lakini everything about Wasafi inanikera!!! Wanaigana kila kitu, hamna jipya... Sauti zile zile, wote wanataka imba kama diamond. Yaani creativity ni zero
Rayvany mm ndo nayemkubali hao wengine wanabana pua tu , wanalazimisha sauti ila ray yuko vizur
 
Na raymond naye kunasiku nilikutana naye nika'act kumtania mwili unauachia akasema anajpanga kurudi gym,
nayeye naona ''ANANENEPA WASAFI KUPIGA SELFIE NA TIFFAH''
mwili wake hauuziki tena skuhizi, ajipange arudi mazoezini
Mm napenda sauti yake tu hivo vingine ampe fahma[emoji14] [emoji14]
 
Subscribe kwenye Account yetu ya You Tube @Nafia Afrika.com
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, hao jamaa wanakosoaga na vitu visivokua vya kukosoa kabsaa………!!!
 
Hii show me hawakujipanga kabisa naweza amini walimuibia jamaa mmoja analalamika sana insta kua ngoma ni yake
 
Ila kale ka dada kwny wimbo wa Show Me pale mwanzoni kanakata mauno jamaani mwe!! Hivi unawezaje kukata mauono huku umechuchumaa halafu muda huohuo unatembea huku unarembua!!!
 
Anaye fanya vizuri lazma aigwe sasa tatizo liko wapi kumuiga boss wao ?
 
Mwenye macho haambiwi tazama,
kwakweli mmewazingua sana mafans wenu waaminifu.

Kuanzia video Ya MUGACHERERE, KIJUSO, SHOW ME, mpaka video ya KARORERO.

Hizo video hata ambaye hana utaalamu wa video za muziki basi akizitazama atagundua tu kwamba kuna makosa yamejitokeza na let me be honest, muhanga wa kwanza ni mimi.

Siwafichini video zote nilizozimention nimezifuta baada ya kuzitazama
hasahasa hii mpya ya SHOW ME ndo kabisaaaa!

Video vurugu tupu, huyo harmonize ndio katokea kama machinga wa wapi sijui,
Hii inaonyesha dhahiri kwamba hamkujipanga before, mlikurupushana tu na kuingia location na hilo suala litawacost nawaambia.

Narudia tena video ya SHOW ME mbaya mbaya mbaya mbayaaaa.


Wakati umefika watizamaji inabidi tuandamane ili Bongo fleva ife....tunataka muziki wa kwetu wa asili si hii ya kinigeria ikiimbwa kwa Kiswahili.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ma director wameisha idea
 
Na raymond naye kunasiku nilikutana naye nika'act kumtania mwili unauachia akasema anajpanga kurudi gym,
nayeye naona ''ANANENEPA WASAFI KUPIGA SELFIE NA TIFFAH''
mwili wake hauuziki tena skuhizi, ajipange arudi mazoezini
kwakweli
na yeye pia habadiliki
 
Back
Top Bottom