kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
KumbeeeeeMbona comment yako imetoka nje ya mada?
Mara hii wcb wamekua wanatoa verifications za instagram [emoji15]
Wamemtenga kivipi..? kuwa verified..? hio tick ya blue hata wewe ukihitaji nione utaipataUkiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga
Kweli kbsa..tena hamna msanii mwenye maadili kama rich mavoko..kwa sabb angekua msanii mwengine na jinsi alivyokua na jina before wangeshaga zinguana kimaslahi mda sana..me nadhani huyu mtoa mada ni mnafki tu..rich sio mtu wa starehe kama harmo na wengine..yule ana future..Namkubali sana Rich mavoko.... Anakila sifa ya kuwa msanii... jamaa haishi kwa kiki... mziki wake ndio unamuweka hewani tofauti na wana wcb wengine... He's real Gentlemen.....kama wizkid
Future yake ni ipi hebu isemeKweli kbsa..tena hamna msanii mwenye maadili kama rich mavoko..kwa sabb angekua msanii mwengine na jinsi alivyokua na jina before wangeshaga zinguana kimaslahi mda sana..me nadhani huyu mtoa mada ni mnafki tu..rich sio mtu wa starehe kama harmo na wengine..yule ana future..
Ni wazi kwamba huwezi kumfananisha wema sepetu na zari..so niliposema ana future nadhani umenielewa..Future yake ni ipi hebu iseme
Rip mavoUkiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga