WCB kwanini wanamtenga sana Richmavoko?

WCB kwanini wanamtenga sana Richmavoko?

[emoji15] [emoji15] [emoji15] Diamond huyo
 
WCB huishi kama familia Moja Maneno yenu hayana nafasi kwao
Wao hujaliii zaidi kazi kuliko majungu yenu

Ukimuona mavoko Wa leo sio WA miaka ya nyuma passport yake imechafuka kwa kupanda ndege

Wcb hupeana mda WA kutoa nyimbo kwa wasanii wake

Na ratiba hio haimbebi mtu wote wapo Sawa

Majungu yenu hayaezi sambaratisha wcb zaidi inazidi kuitanua

Leo ceo WA wcb diamond platunum yupo Rwanda akijaribu kuitangaza wcb kibiashara zaidi
 
Hapendi kiki ndo mana haambatani na wapenda kiki,anajielewa,yupo kikazi zaidi
 
Unajua mavoko ana umuhimu na nafasi gani pale wasafi?.....endelea kuamini kuwa anatengwa kumbe ndo anapendwa kuliko hao uliowataja.
.
.
Kifupi jamaa anaishi maisha yake anayoyapenda na sio kwa kick na showoff za kijinga.
 
Rich mavoko kashindwa hata na Kisandu akaunti yake insta in hiko kitik
 
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga
254be879be733230efab1ba9107e6bd7.jpg
d80c1c42a84e2be7be3089c9609b98b4.jpg
c84dfbd9c7f9787825901a15c1b6ecdf.jpg
4e627e0025cf5900020e6ddbc333d5b7.jpg
4fda0bec47795938fb887e905cc67925.jpg
c29c46fdcddc2ea9e7ddad0f54a98ced.jpg
Wamemtenga kivipi..? kuwa verified..? hio tick ya blue hata wewe ukihitaji nione utaipata
 
Namkubali sana Rich mavoko.... Anakila sifa ya kuwa msanii... jamaa haishi kwa kiki... mziki wake ndio unamuweka hewani tofauti na wana wcb wengine... He's real Gentlemen.....kama wizkid
Kweli kbsa..tena hamna msanii mwenye maadili kama rich mavoko..kwa sabb angekua msanii mwengine na jinsi alivyokua na jina before wangeshaga zinguana kimaslahi mda sana..me nadhani huyu mtoa mada ni mnafki tu..rich sio mtu wa starehe kama harmo na wengine..yule ana future..
 
Kweli kbsa..tena hamna msanii mwenye maadili kama rich mavoko..kwa sabb angekua msanii mwengine na jinsi alivyokua na jina before wangeshaga zinguana kimaslahi mda sana..me nadhani huyu mtoa mada ni mnafki tu..rich sio mtu wa starehe kama harmo na wengine..yule ana future..
Future yake ni ipi hebu iseme
 
Mimi naamini mavocco ana msaada mkubwa pale WCB kuliko unavodhani.
Hebu jaribu kuangalia studio session za wasanii wa WCB utaamini ninachokisema
 
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nn? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga
254be879be733230efab1ba9107e6bd7.jpg
d80c1c42a84e2be7be3089c9609b98b4.jpg
c84dfbd9c7f9787825901a15c1b6ecdf.jpg
4e627e0025cf5900020e6ddbc333d5b7.jpg
4fda0bec47795938fb887e905cc67925.jpg
c29c46fdcddc2ea9e7ddad0f54a98ced.jpg
Rip mavo
 
Back
Top Bottom