chacha2016
Senior Member
- Oct 21, 2016
- 189
- 119
Tubuni kitu gani akati mnaweka majina yakijinga et beibee[emoji2]Tumechoka na hizi story kuweni wabunifu basi
"akati" ndo nini wewe... hebu kajifunze Kiswahili kwanza kabla hujatuletea stori zako zisizo na kichwa wala miguu!!Tubuni kitu gani akati mnaweka majina yakijinga et beibee[emoji2]
Mbona wewe unajiita chacha2016 hakuna aliesema neno,usitake kupanga maisha ya watu kama vile ulivyopanga ratiba ya kumpiga ngumi mkeoHata kama umeenda brela na kukuta majina yote yana wenyewe lakini hili jina ni la kiswahili cjapata kuona
"Wasafi classic baby" jamani hivi hata uchaguzi wa jina pia unahtaji elimu kumbee.
Chacha2016 cyo business brand....sasa ww unasain business docs kwa jina la wasafi classic babeee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja kwanza ncheke nkimaliza ntarud tena.Mbona wewe unajiita chacha2016 hakuna aliesema neno,usitake kupanga maisha ya watu kama vile ulivyopanga ratiba ya kumpiga ngumi mkeo
Hata kama cyo wachina ila hlo cyo bzness brand ni mapenz brand sa cjui jamaa ako alikuw kisimini akakurupuka hlo jnaUswahili? Kwani aliyekwambia wale jamaa ni wachina nani?
WCB hata kama kwako inachefua(though hata mimi haijanikalia sawa)lakini wenyewe ndio brand inayouza vumilia tu kama ni shabiki wao na vaa tu tshirt za WCBChacha2016 cyo business brand....sasa ww unasain business docs kwa jina la wasafi classic babeee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja kwanza ncheke nkimaliza ntarud tena.
Hahaaaaaaa haya mkuu maana hamna namna hatuwez vaa i lov nyuu yokiWCB hata kama kwako inachefua(though hata mimi haijanikalia sawa)lakini wenyewe ndio brand inayouza vumilia tu kama ni shabiki wao na vaa tu tshirt za WCB
Cheka hadi ujambe,wenzako wananunua majumba na kusaini dili ndefu kama za voda kwa jina hilo hiloChacha2016 cyo business brand....sasa ww unasain business docs kwa jina la wasafi classic babeee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja kwanza ncheke nkimaliza ntarud tena.
Naww endlea kuwapgia debe huku unapumulia mashine kwa ugumu wa maishaCheka hadi ujambe,wenzako wananunua majumba na kusaini dili ndefu kama za voda kwa jina hilo hilo
Haijakaa SAWA Sana nadhani hakujua kama brand ingekuja kuwa kubwa ya kimataifa.. EBU toa mifano hata 4 ya majina ya ukweli angetumiaHata kama umeenda brela na kukuta majina yote yana wenyewe lakini hili jina ni la kiswahili cjapata kuona
"Wasafi classic baby" jamani hivi hata uchaguzi wa jina pia unahtaji elimu kumbee.
Wasafi..liko vzurHaijakaa SAWA Sana nadhani hakujua kama brand ingekuja kuwa kubwa ya kimataifa.. EBU toa mifano hata 4 ya majina ya ukweli angetumia
Vipi wale gorilla unit tunavyowashabikia,Haijakaa SAWA Sana nadhani hakujua kama brand ingekuja kuwa kubwa ya kimataifa.. EBU toa mifano hata 4 ya majina ya ukweli angetumia
Hivi hizi team zitaisha lini jaman??!!Mana haihitaji degree kujua wew ni team KibaHata kama umeenda brela na kukuta majina yote yana wenyewe lakini hili jina ni la kiswahili cjapata kuona
"Wasafi classic baby" jamani hivi hata uchaguzi wa jina pia unahtaji elimu kumbee.