pancho boy Mbona jamaa anafanya poa Sana na anatengeneza hit nyingi mf ngoma kama niuwe,go Gaga,sexy mama habibi,Wanga wabaya n.k Ni nyimbo nzuri sana anajua kuandika na show anapata nyingi sana sema shida yako unataka awe level moja sawa na Rayvanny, mbosso na Zuchu kwenye mziki Hakuna kitu Kama hicho Ni sawa Giroud kulazimisha awe sawa na Thierry Henry.Hapana mzee Nina mke sina demu Nina mke
Ni kwa manufaa mazuri tu wala sio nia mbaya huenda lava akapata sehemu nzuri zaid ya hapo
Namba7 Zuchu Hana talent au mziki wake wewe uupendi kipi Ni kipi?Hata siogopi mkuu, kuogopa id ya jf ni sawa na kuukimbia upepo.
Zuchu hana lolote na atachuja diku sio nyingi
Henry= Giroud????? Really???pancho boy Mbona jamaa anafanya poa Sana na anatengeneza hit nyingi mf ngoma kama niuwe,go Gaga,sexy mama habibi,Wanga wabaya n.k Ni nyimbo nzuri sana anajua kuandika na show anapata nyingi sana sema shida yako unataka awe level moja sawa na Rayvanny, mbosso na Zuchu kwenye mziki Hakuna kitu Kama hicho Ni sawa Giroud kulazimisha awe sawa na Thierry Henry.
Napata sana mashaka wewe ni innocent dependent...pancho boy Mbona jamaa anafanya poa Sana na anatengeneza hit nyingi mf ngoma kama niuwe,go Gaga,sexy mama habibi,Wanga wabaya n.k Ni nyimbo nzuri sana anajua kuandika na show anapata nyingi sana sema shida yako unataka awe level moja sawa na Rayvanny, mbosso na Zuchu kwenye mziki Hakuna kitu Kama hicho Ni sawa Giroud kulazimisha awe sawa na Thierry Henry.
Kwan mkuu, hatuwezi mchukua huyo masauti na na tukaendelea kuwa na lava lava pia?? Maana umemkomalia mno lava kuondoka kulko hata huyo masauti kuja
Soma vizuri comment yangu utakuwa ujaelewaHenry= Giroud????? Really???
Daah walimwengu mna mambo, ndio namtaja leoWw tena..[emoji3] huyo mtoto kila siku unamundama na ana anakutoa nishai everyday
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Wasafi wana mikataba ya kimangungo sana.Brand kubwa? Kuliko wasafi?
Kwani ile label 001ni ya kwake?
Wewe umewahi kuiyona mikataba ya Wasafi?Wasafi wana mikataba ya kimangungo sana.
Inawafaa underground wasio hata na sehemu ya kupapasa ndio wanakubali
Sihitaji kuiona kujua kinachoendelea.Wewe umewahi kuiyona mikataba ya Wasafi?
Wewe ujui masuala ya mikataba kwenye mziki hizi YouTube zimefunguliwa na management ya Wasafi na kweli Ni Mali yao lakini inakuwa ya kwako paka pale unapomaliza mkataba wako na label na hii haipo tu Wasafi pekee ipo wide especially kwenye mziki lakini kwanini uangalii pia uwekezaji wanaotumia label kufanya hao wasanii wawe maarufu na marketable?Sihitaji kuiona kujua kinachoendelea.
Nyimbo zote alizorekodi Mavoko akiwa Wasafi ikiwemo YouTube channel siyo mali yake.
Hao kina Rayvanny, Mbosso, Zuchu wote njia ile ile, ni kama wako Jela. Maana hata majina siyo yao.
Nguvu zoote na ubunifu wanaoweka kwenye maisha yao mwisho wa siku siyo mali yao.
Mfano huyo Rayvanny au Mbosso wakiondoka hapo Wasafi, wanaondoka na nini ?Wewe ujui masuala ya mikataba kwenye mziki hizi YouTube zimefunguliwa na management ya Wasafi na kweli Ni Mali yao lakini inakuwa ya kwako paka pale unapomaliza mkataba wako na label na hii haipo tu Wasafi pekee ipo wide especially kwenye mziki lakini kwanini uangalii pia uwekezaji wanaotumia label kufanya hao wasanii wawe maarufu na marketable?
Mkuu acha uwongo..masauti ana miaka mingi tu kwenye game...mi namfahamu kitambo...nenda youtube anagalia wimbo USIKATE TAMAA-MASAUTINaona kabisa Lavalava kashindwa kufikia malengo ya waliomchukua .
Hata Mboso aliyemkuta tiyari kamuacha japo naona majuzi hapa jamaa kaamka, sexy mama ni ngoma Kali.
Sisemi ni msanii mbaya hapana, ila ni failed talent.
Sasa kama WCB mnataka kupata faida kubwa zaidi ya Lavalava na kurudisha faida. Nawapa hint mchukueni yule dogo wa Kenya MASAUTi,
Huyu dogo ni mmoja ya wasanii wanaokuja vizuri huko Kenya na East Africa, ana kama mwaka mmoja tu kwa game ila vibao vikali ,melody yake ni ya kibongo kabisa.
Kama hamtaki acheni endeleeni na huyo Lavalava wenu mtajuta sana kupuuza
Wakiondoka wanaondoka na umaarufu na pia watakuwa wamepata fedha huyo Rayvanny kachukuliwa na label hata baiskeli Hana alafu kaishia form iv na kwenye taaratibu za label Kuna kuwa mgawo wa mapato kiasi fulani kinaenda kwako kingine kwa label yenyewe kulingana na makubaliano umliyowekaMfano huyo Rayvanny au Mbosso wakiondoka hapo Wasafi, wanaondoka na nini ?
Na muziki ni kazi ya ubunifu na hisia, siyo ya kudumu.
Unakaa kwenye Label unatumikaaaa, mwishowe yanakukyta ya Saida Karoli auWasanii wa Twanga Pepeta kina Ali Choki.
Maana hao wasanii wa WCB hawana hata mashabiki.
Mkuu siyo lazima uandike kingereza, 'You take it wrong' umemaanisha nini?You take it wrong tulia bwana mdogo hakuna ushabiki hapa
Innocent dependent got u broWakiondoka wanaondoka na umaarufu na pia watakuwa wamepata fedha huyo Rayvanny kachukuliwa na label hata baiskeli Hana alafu kaishia form iv na kwenye taaratibu za label Kuna kuwa mgawo wa mapato kiasi fulani kinaenda kwako kingine kwa label yenyewe kulingana na makubaliano umliyoweka
Umaarufu Tanzania hauleti helaWakiondoka wanaondoka na umaarufu na pia watakuwa wamepata fedha huyo Rayvanny kachukuliwa na label hata baiskeli Hana alafu kaishia form iv na kwenye taaratibu za label Kuna kuwa mgawo wa mapato kiasi fulani kinaenda kwako kingine kwa label yenyewe kulingana na makubaliano umliyoweka
Umeachana na hoja umekimbilia kuita majina ya watu wengine kijana una shida gani?Innocent dependent got u bro
Sio umaarufu hauleti hela sema wasanii wenu hawatumii umaarufu wao kupiga pesa mbona shilole ana mgahawa wake anaotumia umaarufu wake kupiga pesa.Umaarufu Tanzania hauleti hela