WCB mziki wenu ni wa Studio,Live mwachieni Ruby awafunze kuimba...!

WCB mziki wenu ni wa Studio,Live mwachieni Ruby awafunze kuimba...!

Huo ndo mtihani ila hao jamaa mkuu hawajui kabisa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa mumetoa hoja zembe kabisa | pesa za Mind kaziokota kwani si haso zake kupiga kazi nzuri kwa juhudi, fikra finyu kabisa na pia hata tukimpa Billion 100 uwo mziki wa ruby hatomuimbia MTU nje.

Nina nyimbo ya Ruby Ntade naisikiliza sana lakini nikienda Club uwezi ukaniekea hii nyimbo nikakuelewa nitaitaji Tetema , Socosoco, Kwangaru japo hazipo kwenye simu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa mumetoa hoja zembe kabisa | pesa za Mind kaziokota kwani si haso zake kupiga kazi nzuri kwa juhudi, fikra finyu kabisa na pia hata tukimpa Billion 100 uwo mziki wa ruby hatomuimbia MTU nje.

Nina nyimbo ya Ruby Ntade naisikiliza sana lakini nikienda Club uwezi ukaniekea hii nyimbo nikakuelewa nitaitaji Tetema , Socosoco, Kwangaru japo hazipo kwenye simu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss umeielewa post yangu lakini? Hebu soma tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ruby anasifiwa sana ila hauziki sokoni kimataifa,,,, na huko ndio kuna hela nyingi ambazo WCB wanazivuna

mziki anaoufanya ruby ndio walifanya kina lady jaydee, k lyn, na wengineo wengi.. prof jay , juma nature Tanzania walionekana hawana mpinzani ila nje ya nchi hawakuuzika kabisa..

mziki ambao unafika mbali ni ule wa WCB.. yaani wimbo unatoka unaeleweka unachezwa vipi.. mfano tetema.. style ya kucheza mabega imeubeba sana wimbo kufika mbali.

WCB wasanii wanarekodi wimbo.. kabla haujatoka kuna watu wameajiriwa kina mose iyobo, baajuni, zungu etc kazi yao ni kubuni style ya kucheza huo wimbo.. so wanabuni style ndio inatoka na wimbo... watu wanapenda kucheza sana.. wimbo una hit

Ruby hauziki kabisa.. mi namkubali sana sauti yake.. ila kibiashara hafai

mfano ngololo ngololo ukipigwa mtoto wa mwanza atacheza sawa sawa na mtoto wa mbeya , mtu wa zanzibar atacheza sawa sawa na mtu wa kenya.

ikipigwa sankoro hivyo hivyo.. ikipigwa salome hivyo hivyo.. huo ndio mziki biashara

NYIMBO ZA RUBY HAZICHEZEKI HAZINA SOKO
Hiyo point yako inavyosema inawezekana mkuu , ndio maana kuna kipindi shabba ranks ( Mr loverman) alimvunika Bobby brown kwenye live show ingawa Bobby anajua Sana kuimba
 
Hapa naona kuna shida ya uelewa mimi nilichozungumza sio kuwa juu au kuwa na mziki mzuri nimesema WCB kuimba nyimbo zao live hawawezi ni hovyo,,,sasa watu wanakuja sijui mziki wa Ruby unishia EA tu sio world wide mara diamond mziki wake ni wakimataifa unachezeka nk...

Narudia tena WCB wana mziki wa studio live hawana maajabu sauti kinanda studio live chura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa naona kuna shida ya uelewa mimi nilichozungumza sio kuwa juu au kuwa na mziki mzuri nimesema WCB kuimba nyimbo zao live hawawezi ni hovyo,,,sasa watu wanakuja sijui mziki wa Ruby unishia EA tu sio world wide mara diamond mziki wake ni wakimataifa unachezeka nk...

Narudia tena WCB wana mziki wa studio live hawana maajabu sauti kinanda studio live chura

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio huelewi, elewa sasa mziki anaoimb Ruby ni rahisi kufanya live il a mond ana nyimbo anaweza Fanya live kama sikomi, ukimwona nk na kuna zile zakimataifa kama fire fire hizi ngumu kufanya live, so nyimbo hizi sasa ndizo ambazo wanafanyia performance so lazima wasifanye live, ila kwa Ruby ana aina moja tu mtindo wanyimbo hana nyimbo za kurukaruka na kimataifa so hii ina-influence yeye kufanya live.

Kama ujaelew rudia ×10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio huelewi, elewa sasa mziki anaoimb Ruby ni rahisi kufanya live il a mond ana nyimbo anaweza Fanya live kama sikomi, ukimwona nk na kuna zile zakimataifa kama fire fire hizi ngumu kufanya live, so nyimbo hizi sasa ndizo ambazo wanafanyia performance so lazima wasifanye live, ila kwa Ruby ana aina moja tu mtindo wanyimbo hana nyimbo za kurukaruka na kimataifa so hii ina-influence yeye kufanya live.

Kama ujaelew rudia ×10

Sent using Jamii Forums mobile app
Lame excuse aiseee Kama wakina fid Q na hip hop zao wanafanya live hakuna ngoma ya Diamond atashindwa kufanya live Kama akijipanga na akitaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mashabiki wa kenya pia walilalamika WCB hawezi live performance wamezoeya kuimba juu ya CD
 
Wewe ndio huelewi, elewa sasa mziki anaoimb Ruby ni rahisi kufanya live il a mond ana nyimbo anaweza Fanya live kama sikomi, ukimwona nk na kuna zile zakimataifa kama fire fire hizi ngumu kufanya live, so nyimbo hizi sasa ndizo ambazo wanafanyia performance so lazima wasifanye live, ila kwa Ruby ana aina moja tu mtindo wanyimbo hana nyimbo za kurukaruka na kimataifa so hii ina-influence yeye kufanya live.

Kama ujaelew rudia ×10

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha visingizio mzee,,,mziki anaoimba Ruby ndo mgumu maana unaona hata sauti zinavyopangwa utaelewa Sio hao misambwanda kwa buku jero

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom