WCB na mikataba ya ajabu: Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei

Hakuna kitu mzee itakua labda forbes wamemsahau pengine
Uko dunia gani? Okay then go You Tube or Wikipedia.

I'm just from browsing, kila kitu kipo crystal clear. Acha uvivu,peruzi upate ukweli.
 
Uko dunia gani? Okay then go You Tube or Wikipedia.

I'm just from browsing, kila kitu kipo crystal clear. Acha uvivu,peruzi upate ukweli.
Crystal clear you mean kwamba anatuonyesha asset zake na kutuhakikishia ni zake au unamaanisha nin?
 
Crystal clear you mean kwamba anatuonyesha asset zake na kutuhakikishia ni zake au unamaanisha nin?
You're just a hard core stubborn head, sijui pale unaposoma records za Forbes huwa unataka wakuhakikishie nini zaidi.
They normally do research though various sources and come up with what they record, I bet you ain't just a hater coz I believe you've browsed and you know the answers by now.
 
Aisee.
Leo hii Mond hana maana tena?

Haya lete thread ya kusifia mafanikio ya Mr nice na ray c
Yaani mkuu huyu mleta mada yuko bias sana anaangalia negative side tu wakati the positive side is brighter kwa harmonize kusainiwa wcb na leo hii katoboa... Kweli fools never learn, ngoja utaniambia mwisho wao kama hawajabadili ID
 
Timu kiba100 mnahangaika sana lakini hivi msanii wenu anakwama wapi??? ....Diamond analkmbiza zaidi ya miaka 10 sasa....anabadilika kutokana na mahitaji ya soko...hakuna sehemu yeyote zikapigwa nyimbo tatu bila kusikika nyimbo ya WCB ....kwa hiyo nyie endeleeni na ndoto kwamba masozy na kadogo zinaweza kushindana na akina SIMBA
 
Umesema mikataba inawafunga wasani wa ndan ya wcb wasimpite boss wao aya tueleze ni msani gani wa nje alioweza kumpita mond au upo kishabiki??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…