WCB ndio imeshikilia Bongo Fleva kwa sasa, very creative label

Ipo day shida mtaiona wakuu. Lets wait and see
Waafrika hatupendani that's why mtu akitoa video ikafanana na ya flani Ana rise na Ku claim copyright mangapi tuna copy kwa wazungu Ila hawajawahi claim
 
Huu utetezi wa kindezi. Misukule bana.

Akicopy mwingine povu mtakaloyoa humu sio la nchi hii.
Msanii wenu kazidi hana cha kusema waafrika hatupendani,tunapendana ila hatupendi kuambiwa ukweli ndo maana tumebaki tegemezi wa wazungu.
Waafrika hatupendani that's why mtu akitoa video ikafanana na ya flani Ana rise na Ku claim copyright mangapi tuna copy kwa wazungu Ila hawajawahi claim
 
Huu utetezi wa kindezi. Misukule bana.

Akicopy mwingine povu mtakaloyoa humu sio la nchi hii.
Msanii wenu kazidi hana cha kusema waafrika hatupendani,tunapendana ila hatupendi kuambiwa ukweli ndo maana tumebaki tegemezi wa wazungu.
[emoji23][emoji23]ila mimi ningekuwa msanii nahisi ningekuwa napiga hela for instance nikishoot video yangu Serengeti na wewe ukishoot Serengeti na claim copyright..
Nikishoot nimevaa gumboot na wewe uvae na claim copyright..
 
Ninachokisifu wcb ni kuwa na uwezo wa kuwashika vijana kama wewe kuifanyia promo bila malipo

mtu wa 25 yrs anaweza kimbia kitovu wazi tokea mkwajuni mpaka madale kisa zuchu anafanya tour [emoji23][emoji23][emoji23].

ukimuuliza best uneingiza shingapi?anakwambia just for love bro.
 
Aseeh kwahiyo alikiba management yake ni clouds ?
Clouds sio management yake ndo maana hawahusiki kupromo mziki wake.
Tatizo unataka wao walambe miguu ya mondi hata kama wanapata hasara..huo ni ujinga..

Yaani mnadhani mondi ni mungu asiongelewe
 
Imetoa msanii gani akawa level ya kufanya vizuri Africa?
Takataka kabisaa.
Yaani wewe uchawa unakuharibu.
Wao clouds unawaona hata diamond mwenyewe ni matunda yao..yaani zao lao
Nafkiri unaijua THT na unajua imetoa vipaji vingapi.! Sasa ile ni zao lao..achilia mbali mondi mwenyewe.

Wao ilikuwa media inayohusika kusogeza muziki watu wausikie na hata social media hazikuwepo kwa watanzania wengi wa kipato cha kati.na chini.

Unajua hata juma nature ana tuzo ya MTV mama? Na tena alipata enzi hizo hakuna social media kama sasa access imekuwa rahisi mnoo mpka Huyo zuchu anajulikana hapo Nigeria..!

Utawaambia nini watu?
Lazima muwape heshima yao kwani wamecheza kwenye nafasi yao kama wcb wanavyofanya kwa sasa..

Nimemaliza bwana juma lokole
 
Ni zaidi ya record label kumbe hujui uliza wajuvi clouds sio media tu

Hakuna aliyesema Mond ni Mungu,acha kupanick๐Ÿ˜‚.Kama wewe unaelewa unachokiandika humu,unawezaje kusema Clouds hawahusiki kupromo mziki wa kiba๐Ÿค”?
 
Hakuna aliyesema Mond ni Mungu,acha kupanick๐Ÿ˜‚.Kama wewe unaelewa unachokiandika humu,unawezaje kusema Clouds hawahusiki kupromo mziki wa kiba๐Ÿค”?
Ni akili yako ndo ilivyokutuma clouds wana management
Lakini haimaanishi wanamsimamia kiba hayo sijui umeyatoa wapi?
Wana wasanii wao sio kiba kwahiyo ni akili yako imekutuma uelewe unavyojua we we
Hahahhaaa
 
Ni akili yako ndo ilivyokutuma clouds wana management
Lakini haimaanishi wanamsimamia kiba hayo sijui umeyatoa wapi?
Wana wasanii wao sio kiba kwahiyo ni akili yako imekutuma uelewe unavyojua we we
Hahahhaaa
Hakuna sehemu ambapo nimesema clouds ni management ya Kiba, Ila nimeshangazwa na kukataa kwako,swala la Kiba kupewa promo na clouds.
 
Hakuna sehemu ambapo nimesema clouds ni management ya Kiba, Ila nimeshangazwa na kukataa kwako,swala la Kiba kupewa promo na clouds.
Hahaahh mbona sasa hapa wewe ndo umekataa ulichokikubali?
Alikiba ameenda hapo clouds kama wasanii wengine kutambulisha ngoma

Alikiba ana management yake inahusika na promo na wala sio clouds au kurudia rudia wimbo ndo kumpa promo?
 
Hahaahh mbona sasa hapa wewe ndo umekataa ulichokikubali?
Alikiba ameenda hapo clouds kama wasanii wengine kutambulisha ngoma

Alikiba ana management yake inahusika na promo na wala sio clouds au kurudia rudia wimbo ndo kumpa promo?
Oooh, nimegundua huna chochote unachokijua kwenye tasinia ya mziki,huenda hujui hata maana ya promo kwenye mziki,hujui uhusiano uliopo kati ya Kiba na clouds.Nimeamua kukupuuza rasimi. innocent dependent njoo ujaribu na wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Naomba kuuliza Swali:

Kwa hivyo tumewaafikiana kwamba miaka 5 ya kwanza ya bwana magufuki , maisha ya wananchi hayajaboreshwa?

Kwani alivyoomba Kura 2015, si alisema maisha ya wananchi yataboreshwa na tutakuwa Ulaya?

Kama kashindwa awamu ya kwanza, kwanini apewe awamu ya pili?

Usipoteze kura yako kwa walioonesha kushindwa, mpe kura yako RAIS MTEULE TUNDU LISSU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ