WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

Usilinganishe mapenz ya Chama na muziki ni vitu tofauti hyo hoja yako yakusema domo kushabikia chama tawala ndo ilikufanya usimpende haiingii akilin huwez kumchagulia chama cha kufata kisa ww hupend

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio unisaidie kushangaa na wewe, na bado wimbo ule ni kwaya ya watu sijui 7!!!! Mtu mmoja hapo anatoka wapi? Ama kweli mfa maji.......
 
Acha Bangi mawigi hayajawahi kumuacha mtu salama he heee Eti zilipendwa mkome kukurupuka Kiba kawanyoosha mnataka msikike nyie tu mmeumbuka Endeleeni kucopy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli nikiangalia hali ya mashabiki wa diamond kwa ujumla wake,nawaonea huruma sana.

Hii dhana ya diamond zaidi ya yeyote tz itawamaliza mmesimama,sio nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…