WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

Usilinganishe mapenz ya Chama na muziki ni vitu tofauti hyo hoja yako yakusema domo kushabikia chama tawala ndo ilikufanya usimpende haiingii akilin huwez kumchagulia chama cha kufata kisa ww hupend

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu naye mzushi tu, huyo mond anamashabaki kibao, tukianza na mashabaki wake mwenyewe,
mashabiki wa Zari wa ug na tz,
mashabiki wa moze iyobo na baby mama ake,
mashabiki wa bashite,
mashabiki wa le mutuz,
mashabiki wa harmo + mzungu wake,
mashabiki wa babu tale,
mashabiki wa sallam,
mashabiki wa rey van,
hapo sijaweka wa richmavoko, bi sandra, esma n.k n.k.
hilo jeshi la mtu mmoja kweli?
Ndio unisaidie kushangaa na wewe, na bado wimbo ule ni kwaya ya watu sijui 7!!!! Mtu mmoja hapo anatoka wapi? Ama kweli mfa maji.......
 
Kwanza diamond hana mashabiki bali ana wanachama.kupitia kwa diamond ndio maana kina lavalava,rayyvan,harmonize wana mashabiki lukuki na ndio maana endapo utataja top20 ya wasanii bora huwez kuacha kuwataja na wasanii wa wcb hvyo diamond ni jeshi la mtu mmoja lililoweza kuwapa nguvu anao washika mikono

Kiba anapata sapoti kutoka kwa mashabiki wake,mashabiki wa wema wa joketi wa mange na mashabik wa dimpoz na sasa wameongezeka mashabiki wa hamisa

Pamoja na kiba kusapotiwa na kundi kubwa la watu kwenye mitandao ila diamond anapambana peke ake yaan n jeshi la mtu mmoja na ana wapeleka puta maadui zake

HAKIKA DIAMOND SIO WA MCHEZO MCHEZO
Acha Bangi mawigi hayajawahi kumuacha mtu salama he heee Eti zilipendwa mkome kukurupuka Kiba kawanyoosha mnataka msikike nyie tu mmeumbuka Endeleeni kucopy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli nikiangalia hali ya mashabiki wa diamond kwa ujumla wake,nawaonea huruma sana.

Hii dhana ya diamond zaidi ya yeyote tz itawamaliza mmesimama,sio nzuri.
 
Back
Top Bottom