Haaaaahaaaa jinga sana ww!JIPE MOYO tuimbe tena " watoto wangu eeeeh, mimi baba yenu, sina nguvu tena, za kuua tembo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
KITU CHA MIDA YA WANGA KILR,KIMEWATOA MAPOVU TEAM KIBA HAWAJALALAA KWENYE MAGROUP WANAHIMIZANA WAINGIEYOUTUBEKUMJAZIA VIEW KIBAWimbo anatoa mda wowote wanaotaka wao,wanauwezo wa kutoa wimbo kwa kila saa kwa muda wa siku 365 na nyengine zikabaki stoo
Wana makelele mengi mtandaoni ila mtaani kila mtu ni dai ndo maana ana uwezo wa kujaza stadium tena katika nchi yoyote Afrika.wimbo umetoka usiku lakini kila mtu hadi watotoHana akili huyoooo,kwa hyo harmknizekarud toka Nigeria
Mashabiki wa kiba na team zao zote bado wanakaaa kwa SIMBA
vyovyote iwavyo kawafanya wapingane na ratiba yao hahahaaaa wamepanic wametoa kabla kisa king hahahaaaaa yy na watoto wakeIna maana baada ya kiba kutoa nyimbo ndio wcb wakaingia studio wakarekod then wakashoot video wakaitoa kwa cku hyo hyo
Sina timu ila na thamini kila msanii anachokifanya awe diamond au kiba,Ila mtu anapoongea pumba kwa ushabiki na mambo mengine yapo wazi ni kumchana tu mubashara kama mtoa siredi! HahahahahaUtakua team wema weweee lakini WOTE ndo TEAM VIPUSA TU
hakuna anayemfikiria na sasa ni wazi kwamba muda wote diamond anamfikiria KIBA ipo waaaazi.Maadui wa diamond wanafikiria ni namna gani watamshusha diamond ila mwenzao ndo anazidi kutusuaa yeye na vijana wake
AhsanteJIPE MOYO tuimbe tena " watoto wangu eeeeh, mimi baba yenu, sina nguvu tena, za kuua tembo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
labda waimbe a e i o u...katoa tatu zimebuma katoa eneka,nakukumbuka,fire afu jiiiiiiii kuskia seduce me katoa tena na next few days anatoa na patoranking bt ataburuzwa na seduce me mwaka mzima hahahahaaaaaaaaa.....KIIIIIING KIBAAAAAA uwe na huruma dogo anawaza had domo linaongezeka ukubwa.Wimbo anatoa mda wowote wanaotaka wao,wanauwezo wa kutoa wimbo kwa kila saa kwa muda wa siku 365 na nyengine zikabaki stoo
hakuna simba anayebana pua chungen kauli, simba haonekani hovyo na Sumba anajiheshimu na simba dume ni afande sele tu labda muwe wazi kwamba huyu wa madale ni jike na bwanake yupo misufini Morogoro.Hana akili huyoooo,kwa hyo harmknizekarud toka Nigeria
Mashabiki wa kiba na team zao zote bado wanakaaa kwa SIMBA
Thanks. Kama una safari yoyote inayotumia fastjet, ticket kwangu!
hivi umuweke kiba hapa na domo pale KE nani na ME nani?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , domo kuanzia anavyojiweka had tabia ni KE mwaa mwii.Ninewaambia wengi sana,na wengine walikua wakinijia na POVU nawauliza,we ni team kiba,WEMA,JOKATE, HAMISA, nuh MZIWANDA au naniiii??? LAKINI WOTE NI TEAM VIPUSA TU ZA KIKEKIKE TU
Hivi umepita Upande ule wa Dada Mkubwa wa USA uone balaa lake la leo!
Kuku was tamu mjini wanaongezeka kwa kasi iseeDiamond angekua wa kawaida angeshapotea siku nyingi.pamoja na kiba kupata msaada wa mashabiki wa watu wasio mpenda mond lakini mond bado anaunguruma tu
Hata mashabiki si hamumpendi kiba..tatizo liko wapi?Diamond angekua wa kawaida angeshapotea siku nyingi.pamoja na kiba kupata msaada wa mashabiki wa watu wasio mpenda mond lakini mond bado anaunguruma tu