Sio msanii wenu,sema msanii wetu sawa.Huyo Msanii Wenu Na Mameneja Wake Wana matatizo na Media nyingi tu, hata Kabla hawajawa na hiyo Media yao..
THT ni Kama Chuo, Mkuu Wao hana Noma na Media Zingine
WCB ni Label, Mkuu Wao na Mameneja wake ndo Wenye Matatizo..
Imeisha hiyo,tuishi humo kakaDiamond ni mkubwa kuliko Media
Kama ilivyo kwa zitto
Zitto ni mkubwa kuliko Act wazalendo
Sawa Beki 3 wa kingKiba Huwa tunaamin Sana Habari zako!!! Vp Yebaba kashaingia studio hapo au bado!??Huyo Msanii Wenu Na Mameneja Wake Wana matatizo na Media nyingi tu, hata Kabla hawajawa na hiyo Media yao..
THT ni Kama Chuo, Mkuu Wao hana Noma na Media Zingine
WCB ni Label, Mkuu Wao na Mameneja wake ndo Wenye Matatizo..
Habarini ndugu wana jukwaa!
Nimefuatilia sana kuhusu hii trend ya baadhi ya media kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii na mara zote nakosa majibu kwa kuwa hakuna media inatoa sababu za kwanini imefikia maamuzi ya kutopiga nyimbo za m/wasanii husika.
Kwa kesi ya Clouds media na kutokupiga nyimbo za WCB kidogo naweza kuhisi sababu japo sina ihakika ila nahisi yatakuwa mambo ya biashara. Nahisi hivi kwa sababu wamiliki na viongozi wa WCB ndio wamiliki wa Wasafi Media kampuni iliyo kwenye industry moja na CMG hivyo Clouds FM au TV kupiga nyimbo za Wcb itakuwa kama kuipromote brand nyingine kitu ambacho hakiwezekani. Yaani ni sawa Pepsi wachore chupa ya sparletta kwenye magari yao.
Clouds kwa hili naweza kuwaelewa lakini nisiowaelewa ni media zingine hasa East Africa(redio na TV ) na E(FM na TV ). Hawa nao hawachezi nyimbo za WCB japo kwa upande mwingine wanacheza kazi za wasanii wa THT.
Nisichokielewa ni vp unagoma kucheza nyimbo za Wcb(inayomilikiwa na wenye Wasafi media) ila unacheza nyimbo za Tht(inayomilikiwa na Clouds media).
Je kuna makubaliano ya kibiashara kati ya CMG na hizi media nyingine kuhusu kucheza nyimbo za THT ambayo hayapo kati ya Wasafi media na kucheza nyimbo za WCB?
Je inawezekana East Africa na Efm & Etv wanapigana vita ya Clouds bila kujua kama ilivokuwa kwenye ugomvi wa Ruge(r.I.p) na Makonda au tuamini aliyowahi kusema Kusaga kwamba anamiliki vyombo vya habari vingi hapa Tz so huenda na hizi redio na TV mbili kuna mkono wa kusaga ndo maana wanafanya karibu kila kitu anachokifanya Clouds.
Nina maswali mengi ya kuuliza kuhusu WCB na THT, ni vp media house isiyo CMG au Wasafi Media iamue kupiga/kutokupiga nyimbo za moja kati ya lebo hizi za muziki Tanzania!
Naomba kuwasilisha na naomba mchango wenu katika hili.
Note: mambo ya timu hapa hayahitajiki
Mkuu so hot inaendeleaje,?Huyo Msanii Wenu Na Mameneja Wake Wana matatizo na Media nyingi tu, hata Kabla hawajawa na hiyo Media yao..
THT ni Kama Chuo, Mkuu Wao hana Noma na Media Zingine
WCB ni Label, Mkuu Wao na Mameneja wake ndo Wenye Matatizo..
Dah! Zitto amechomoz hata huku!?Diamond ni mkubwa kuliko Media
Kama ilivyo kwa zitto
Zitto ni mkubwa kuliko Act wazalendo
Ni issues za kibiashara mkuu.Habarini ndugu wana jukwaa!
Nimefuatilia sana kuhusu hii trend ya baadhi ya media kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii na mara zote nakosa majibu kwa kuwa hakuna media inatoa sababu za kwanini imefikia maamuzi ya kutopiga nyimbo za m/wasanii husika.
Kwa kesi ya Clouds media na kutokupiga nyimbo za WCB kidogo naweza kuhisi sababu japo sina ihakika ila nahisi yatakuwa mambo ya biashara. Nahisi hivi kwa sababu wamiliki na viongozi wa WCB ndio wamiliki wa Wasafi Media kampuni iliyo kwenye industry moja na CMG hivyo Clouds FM au TV kupiga nyimbo za Wcb itakuwa kama kuipromote brand nyingine kitu ambacho hakiwezekani. Yaani ni sawa Pepsi wachore chupa ya sparletta kwenye magari yao.
Clouds kwa hili naweza kuwaelewa lakini nisiowaelewa ni media zingine hasa East Africa(redio na TV ) na E(FM na TV ). Hawa nao hawachezi nyimbo za WCB japo kwa upande mwingine wanacheza kazi za wasanii wa THT.
Nisichokielewa ni vp unagoma kucheza nyimbo za Wcb(inayomilikiwa na wenye Wasafi media) ila unacheza nyimbo za Tht(inayomilikiwa na Clouds media).
Je kuna makubaliano ya kibiashara kati ya CMG na hizi media nyingine kuhusu kucheza nyimbo za THT ambayo hayapo kati ya Wasafi media na kucheza nyimbo za WCB?
Je inawezekana East Africa na Efm & Etv wanapigana vita ya Clouds bila kujua kama ilivokuwa kwenye ugomvi wa Ruge(r.I.p) na Makonda au tuamini aliyowahi kusema Kusaga kwamba anamiliki vyombo vya habari vingi hapa Tz so huenda na hizi redio na TV mbili kuna mkono wa kusaga ndo maana wanafanya karibu kila kitu anachokifanya Clouds.
Nina maswali mengi ya kuuliza kuhusu WCB na THT, ni vp media house isiyo CMG au Wasafi Media iamue kupiga/kutokupiga nyimbo za moja kati ya lebo hizi za muziki Tanzania!
Naomba kuwasilisha na naomba mchango wenu katika hili.
Note: mambo ya timu hapa hayahitajiki
Safi kabisa , short and clear ,EATV sababu ya tuzo uchwara za kutuma barua kama unachumbia
Clouds sababu walitaka kitonga kisa promo
Tve papuchi ya single maza Hamisa
Ukitaka kujua makali ya Zito muulize BulemboDah! Zitto amechomoz hata huku!?
Msanii Wenu Mpiga ndele wa kimataifaSio msanii wenu,sema msanii wetu sawa.
Dada Kampikie Mmeo usijekuachika bureSawa Beki 3 wa kingKiba Huwa tunaamin Sana Habari zako!!! Vp Yebaba kashaingia studio hapo au bado!??
Iko Mukide,Mkuu so hot inaendeleaje,?
Viewers
Trend no ngapi
Sio kwamba ana influence kubwa. Hii nchi ya Tz ina utitiri wa fm radios ambazo zina muda mwingi wa kucheza muziki kuliko matangazo ya vipindi tofauti. So, hao Clouds, EA Radio na E fm, ni sawa tu na tone moja la maji kwenye ile ndogo kubwa ya maji. Ni kama 3 kati ya 100.ndio hivyo mkuu.Diamond Ana influence kubwa kuliko hizo media kwa sasa ndio maana licha ya hizo media kubwa kutopiga kazi zake ndo kwanza anazidi kupanda.
Mzee asikatae diamond ana influence kubwa Sana ndomaana wasanii walikuwa ngoma zao hazipigwi kwenye hizo redio sasa hiv wakufa kimziki lakini kwa mond anazidi kudunda tuSio kwamba ana influence kubwa. Hii nchi ya Tz ina utitiri wa fm radios ambazo zina muda mwingi wa kucheza muziki kuliko matangazo ya vipindi tofauti. So, hao Clouds, EA Radio na E fm, ni sawa tu na tone moja la maji kwenye ile ndogo kubwa ya maji. Ni kama 3 kati ya 100.