WCB vs THT

WCB vs THT

Huyo Msanii Wenu Na Mameneja Wake Wana matatizo na Media nyingi tu, hata Kabla hawajawa na hiyo Media yao..

THT ni Kama Chuo, Mkuu Wao hana Noma na Media Zingine

WCB ni Label, Mkuu Wao na Mameneja wake ndo Wenye Matatizo..
Sawa Beki 3 wa kingKiba Huwa tunaamin Sana Habari zako!!! Vp Yebaba kashaingia studio hapo au bado!??
 
Habarini ndugu wana jukwaa!
Nimefuatilia sana kuhusu hii trend ya baadhi ya media kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii na mara zote nakosa majibu kwa kuwa hakuna media inatoa sababu za kwanini imefikia maamuzi ya kutopiga nyimbo za m/wasanii husika.
Kwa kesi ya Clouds media na kutokupiga nyimbo za WCB kidogo naweza kuhisi sababu japo sina ihakika ila nahisi yatakuwa mambo ya biashara. Nahisi hivi kwa sababu wamiliki na viongozi wa WCB ndio wamiliki wa Wasafi Media kampuni iliyo kwenye industry moja na CMG hivyo Clouds FM au TV kupiga nyimbo za Wcb itakuwa kama kuipromote brand nyingine kitu ambacho hakiwezekani. Yaani ni sawa Pepsi wachore chupa ya sparletta kwenye magari yao.
Clouds kwa hili naweza kuwaelewa lakini nisiowaelewa ni media zingine hasa East Africa(redio na TV ) na E(FM na TV ). Hawa nao hawachezi nyimbo za WCB japo kwa upande mwingine wanacheza kazi za wasanii wa THT.
Nisichokielewa ni vp unagoma kucheza nyimbo za Wcb(inayomilikiwa na wenye Wasafi media) ila unacheza nyimbo za Tht(inayomilikiwa na Clouds media).
Je kuna makubaliano ya kibiashara kati ya CMG na hizi media nyingine kuhusu kucheza nyimbo za THT ambayo hayapo kati ya Wasafi media na kucheza nyimbo za WCB?
Je inawezekana East Africa na Efm & Etv wanapigana vita ya Clouds bila kujua kama ilivokuwa kwenye ugomvi wa Ruge(r.I.p) na Makonda au tuamini aliyowahi kusema Kusaga kwamba anamiliki vyombo vya habari vingi hapa Tz so huenda na hizi redio na TV mbili kuna mkono wa kusaga ndo maana wanafanya karibu kila kitu anachokifanya Clouds.
Nina maswali mengi ya kuuliza kuhusu WCB na THT, ni vp media house isiyo CMG au Wasafi Media iamue kupiga/kutokupiga nyimbo za moja kati ya lebo hizi za muziki Tanzania!

Naomba kuwasilisha na naomba mchango wenu katika hili.

Note: mambo ya timu hapa hayahitajiki

Mkuu, tatizo liko kwenye hiyo scenario uliyotengeneza, WCB Vs THT. Hiyo haihusiani na kuchezwa au kutokuchezwa kwa kazi za wasanii kwenye vituo husika.

Sababu za kupiga au kutopiga kazi hazihusiani na kussuport au kutosupport WCB wala THT.

Kikubwa ni hitilafu binafsi baina ya wana muziki au wasimamizi wao na vituo husika, kama wachangiaji wanavyotupa wanachokijua.
 
Huyo Msanii Wenu Na Mameneja Wake Wana matatizo na Media nyingi tu, hata Kabla hawajawa na hiyo Media yao..

THT ni Kama Chuo, Mkuu Wao hana Noma na Media Zingine

WCB ni Label, Mkuu Wao na Mameneja wake ndo Wenye Matatizo..
Mkuu so hot inaendeleaje,?
Viewers
Trend no ngapi
 
Habarini ndugu wana jukwaa!
Nimefuatilia sana kuhusu hii trend ya baadhi ya media kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii na mara zote nakosa majibu kwa kuwa hakuna media inatoa sababu za kwanini imefikia maamuzi ya kutopiga nyimbo za m/wasanii husika.
Kwa kesi ya Clouds media na kutokupiga nyimbo za WCB kidogo naweza kuhisi sababu japo sina ihakika ila nahisi yatakuwa mambo ya biashara. Nahisi hivi kwa sababu wamiliki na viongozi wa WCB ndio wamiliki wa Wasafi Media kampuni iliyo kwenye industry moja na CMG hivyo Clouds FM au TV kupiga nyimbo za Wcb itakuwa kama kuipromote brand nyingine kitu ambacho hakiwezekani. Yaani ni sawa Pepsi wachore chupa ya sparletta kwenye magari yao.
Clouds kwa hili naweza kuwaelewa lakini nisiowaelewa ni media zingine hasa East Africa(redio na TV ) na E(FM na TV ). Hawa nao hawachezi nyimbo za WCB japo kwa upande mwingine wanacheza kazi za wasanii wa THT.
Nisichokielewa ni vp unagoma kucheza nyimbo za Wcb(inayomilikiwa na wenye Wasafi media) ila unacheza nyimbo za Tht(inayomilikiwa na Clouds media).
Je kuna makubaliano ya kibiashara kati ya CMG na hizi media nyingine kuhusu kucheza nyimbo za THT ambayo hayapo kati ya Wasafi media na kucheza nyimbo za WCB?
Je inawezekana East Africa na Efm & Etv wanapigana vita ya Clouds bila kujua kama ilivokuwa kwenye ugomvi wa Ruge(r.I.p) na Makonda au tuamini aliyowahi kusema Kusaga kwamba anamiliki vyombo vya habari vingi hapa Tz so huenda na hizi redio na TV mbili kuna mkono wa kusaga ndo maana wanafanya karibu kila kitu anachokifanya Clouds.
Nina maswali mengi ya kuuliza kuhusu WCB na THT, ni vp media house isiyo CMG au Wasafi Media iamue kupiga/kutokupiga nyimbo za moja kati ya lebo hizi za muziki Tanzania!

Naomba kuwasilisha na naomba mchango wenu katika hili.

Note: mambo ya timu hapa hayahitajiki
Ni issues za kibiashara mkuu.
Katika biashara ni kawaida kutokea migingano mbalimbali so hayo ni baadhi ya matokeo ya migongano hiyo

Mi huwa nasubiri ngoma iingie youtube ili niipakue.
 
EATV sababu ya tuzo uchwara za kutuma barua kama unachumbia
Clouds sababu walitaka kitonga kisa promo
Tve papuchi ya single maza Hamisa
Safi kabisa , short and clear ,
 
Mkuu so hot inaendeleaje,?
Viewers
Trend no ngapi
Iko Mukide,

Sisi hatupimi mziki mzuri kwa Views na Trending Hivyo ni vipimo vya mashabiki Uchwara

Mziki Mzuri na wa Kibiashara unapimwa kwa ku-Stream, uko ndo kuna Pesa na Wasanii wakubwa wote wamewekeza huko..

hakuna msanii mkubwa anaeangaika na Views na trending Youtube
 
Mimi nadhani ni kwa sababu wasanii wa wcb wana promotion yao binafsi inayowatosheleza kwa hiyo inakuwa haina maana kuzicheza nyimbo zao. Na ndio maana kama unafuatilia vizuri uwepo wa wasafi media umeua kwa kiasi fulani suala la label na wasafi records, nikimaanisha kuwa kila msanii wa wcb ana management ya wasafi inayojitegemea.
 
Ko Wasafi wanaitangaza clouds.....? Coz wanapiga nyimbo za wasanii wa THT
sioni kwamba kupiga nyimbo za WCB ni kuitangaza Wasafi media
 
TvE tatizo K
Mawingu ganda la ndizi wanapenda kuteleza
EAT vituzo mavi
Ni basi tu binaadam tunachuki na roho za korosho
 
ndio hivyo mkuu.Diamond Ana influence kubwa kuliko hizo media kwa sasa ndio maana licha ya hizo media kubwa kutopiga kazi zake ndo kwanza anazidi kupanda.
Sio kwamba ana influence kubwa. Hii nchi ya Tz ina utitiri wa fm radios ambazo zina muda mwingi wa kucheza muziki kuliko matangazo ya vipindi tofauti. So, hao Clouds, EA Radio na E fm, ni sawa tu na tone moja la maji kwenye ile ndogo kubwa ya maji. Ni kama 3 kati ya 100.
 
Sio kwamba ana influence kubwa. Hii nchi ya Tz ina utitiri wa fm radios ambazo zina muda mwingi wa kucheza muziki kuliko matangazo ya vipindi tofauti. So, hao Clouds, EA Radio na E fm, ni sawa tu na tone moja la maji kwenye ile ndogo kubwa ya maji. Ni kama 3 kati ya 100.
Mzee asikatae diamond ana influence kubwa Sana ndomaana wasanii walikuwa ngoma zao hazipigwi kwenye hizo redio sasa hiv wakufa kimziki lakini kwa mond anazidi kudunda tu
JAYJAY
 
Back
Top Bottom