BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Habarini ndugu wana jukwaa!
Nimefuatilia sana kuhusu hii trend ya baadhi ya media kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii na mara zote nakosa majibu kwa kuwa hakuna media inatoa sababu za kwanini imefikia maamuzi ya kutopiga nyimbo za m/wasanii husika.
Kwa kesi ya Clouds media na kutokupiga nyimbo za WCB kidogo naweza kuhisi sababu japo sina ihakika ila nahisi yatakuwa mambo ya biashara. Nahisi hivi kwa sababu wamiliki na viongozi wa WCB ndio wamiliki wa Wasafi Media kampuni iliyo kwenye industry moja na CMG hivyo Clouds FM au TV kupiga nyimbo za Wcb itakuwa kama kuipromote brand nyingine kitu ambacho hakiwezekani. Yaani ni sawa Pepsi wachore chupa ya sparletta kwenye magari yao.
Clouds kwa hili naweza kuwaelewa lakini nisiowaelewa ni media zingine hasa East Africa(redio na TV ) na E(FM na TV ). Hawa nao hawachezi nyimbo za WCB japo kwa upande mwingine wanacheza kazi za wasanii wa THT.
Nisichokielewa ni vp unagoma kucheza nyimbo za Wcb(inayomilikiwa na wenye Wasafi media) ila unacheza nyimbo za Tht(inayomilikiwa na Clouds media).
Je kuna makubaliano ya kibiashara kati ya CMG na hizi media nyingine kuhusu kucheza nyimbo za THT ambayo hayapo kati ya Wasafi media na kucheza nyimbo za WCB?
Je inawezekana East Africa na Efm & Etv wanapigana vita ya Clouds bila kujua kama ilivokuwa kwenye ugomvi wa Ruge(r.I.p) na Makonda au tuamini aliyowahi kusema Kusaga kwamba anamiliki vyombo vya habari vingi hapa Tz so huenda na hizi redio na TV mbili kuna mkono wa kusaga ndo maana wanafanya karibu kila kitu anachokifanya Clouds.
Nina maswali mengi ya kuuliza kuhusu WCB na THT, ni vp media house isiyo CMG au Wasafi Media iamue kupiga/kutokupiga nyimbo za moja kati ya lebo hizi za muziki Tanzania!
Naomba kuwasilisha na naomba mchango wenu katika hili.
Note: mambo ya timu hapa hayahitajiki
Nimefuatilia sana kuhusu hii trend ya baadhi ya media kutopiga nyimbo za baadhi ya wasanii na mara zote nakosa majibu kwa kuwa hakuna media inatoa sababu za kwanini imefikia maamuzi ya kutopiga nyimbo za m/wasanii husika.
Kwa kesi ya Clouds media na kutokupiga nyimbo za WCB kidogo naweza kuhisi sababu japo sina ihakika ila nahisi yatakuwa mambo ya biashara. Nahisi hivi kwa sababu wamiliki na viongozi wa WCB ndio wamiliki wa Wasafi Media kampuni iliyo kwenye industry moja na CMG hivyo Clouds FM au TV kupiga nyimbo za Wcb itakuwa kama kuipromote brand nyingine kitu ambacho hakiwezekani. Yaani ni sawa Pepsi wachore chupa ya sparletta kwenye magari yao.
Clouds kwa hili naweza kuwaelewa lakini nisiowaelewa ni media zingine hasa East Africa(redio na TV ) na E(FM na TV ). Hawa nao hawachezi nyimbo za WCB japo kwa upande mwingine wanacheza kazi za wasanii wa THT.
Nisichokielewa ni vp unagoma kucheza nyimbo za Wcb(inayomilikiwa na wenye Wasafi media) ila unacheza nyimbo za Tht(inayomilikiwa na Clouds media).
Je kuna makubaliano ya kibiashara kati ya CMG na hizi media nyingine kuhusu kucheza nyimbo za THT ambayo hayapo kati ya Wasafi media na kucheza nyimbo za WCB?
Je inawezekana East Africa na Efm & Etv wanapigana vita ya Clouds bila kujua kama ilivokuwa kwenye ugomvi wa Ruge(r.I.p) na Makonda au tuamini aliyowahi kusema Kusaga kwamba anamiliki vyombo vya habari vingi hapa Tz so huenda na hizi redio na TV mbili kuna mkono wa kusaga ndo maana wanafanya karibu kila kitu anachokifanya Clouds.
Nina maswali mengi ya kuuliza kuhusu WCB na THT, ni vp media house isiyo CMG au Wasafi Media iamue kupiga/kutokupiga nyimbo za moja kati ya lebo hizi za muziki Tanzania!
Naomba kuwasilisha na naomba mchango wenu katika hili.
Note: mambo ya timu hapa hayahitajiki