WCB, wadau hamuwatendei haki Ben Pol, Belle 9 na wengineo

Kwani nani kakatazwa kufanya promo?
 
ben pol na bell wazur sana
 
Belle 9 toka ameanza game hajawahi kuwa na skendo ya demu, unategemea nini kwa hii game ya bongo?
Aende bongo movie atapanda chart! awe selective tuu alichukue ngungu moja limpe jina kama wenzie....
 
I also see this coming, kwa upande wangu singependa iwe hivyo kwa kweli, so something should be done ASAP, to neutrolize the power of WCB, before its to late, ili kuleta chachu katika tasnia ya bongo fleva.
 
Ni kweli kabisa uyasemayo, lakini kinachowafelisha hao wanaojua kuimba ni kubweteka, mtu anatoa nyimbo hata kuitangaza mwenyewe tu anaona uvivu, huu uvivu huwezi kamweeeee kuukuta pale WCB, NGOMA KABLA HATA YA KUTOKA INATANGAZWA MFANO HAKUNA, SI ALIYETOA sio MADANSA, MASHABIKI, MPAKA NDUGU WA FAMILIA AMBAO HAWAFANYI MZIKI UTAWAONA WAKITANGAZA, sasa ngoma yenyewe itoke utadhani kuna sherehe ya Kitaifa maana hizo shamra shamra huko kwenye mitandao ni hatari, na ndio maana unakuta nyimbo nyingi kutoka WCB zinavutia viwers wengi, hii kitu me nimeiona kwa DIAMOND TUUUU! lakini wengine hutoa nyimbo then wanaiacha itembee yenyewe na iende inapotaka kwenda yenyewe, SOKO halitaki ubwetekaji wa namna hii, mfano mzuri ni yule aliyetoa wimbo wa "KAMA UTANIPENDA" huu wimbo ungetokea WCB ungekuwa wimbo wa taifa, lakini mwenyewe waalaaaa hana habari nao, na juzi kaulizwa kwenye Enews kwanini katoa hit song lakini yeye katulia kama maji mtungini, ajichojibu......... kamuulizeni sami misago mtazimia. Sasa wasanii kama hawa wakipigwa bao na WCB walama zinaelekezwa kwa DIAMOND, mara anawabania wengine wasitoboa, anataka awe juu yeye tuu. Anawazibia blah blah blah! Kumbeeee kuna watu mpango wa kutoboa wala hawana, wao wakishaimba wakarelizi ngoma there enough!
 
wakusambaza ngada bondeni...
 
Mbona hulalamiki Bakhressa kila sehemu amekaba mpaka sasa kwenye Media?! Kifupi muziki ni biashara , ukienda Marekani YMCB(Birdman) wamedorminate katika Hip Hop, Nigeria Marvins (Don Jazz) etc

Kingine wasanii uliowataja hawajui kuji'Brand japokuwa ni waimbaji wazuri pia wanafanya muziki wa mazoea.

BTW, Kaangalie show ya RayVanny(msanii wa juzi) na Belle9, utapata majibu who are serious with industry.
 
wangetafuta kik kwa mijimama ya bongo movie kama wengine wangetoka mara moja mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…