WCB Waendelea kuchuniwa. Safari hii na mwanamuziki wa nje, Jason Derulo

Muoneeni huruma basi,nao ni binadamu kama sisi

Kwakweli tumuombee kama tunavyomwombea Lisu maana hali ya Madale ni tete, wasanii wanashinda na njaa hadi kuna mama ntilie anawapelekea wali ule wa 1000 kwa sahani
 
kweli domo anazingua ila umemkamia hatari.....................................
 
Mwandishi punguza kura karanga afu usi zime taa wakati wa kulala naona una tatzo la kuloweshwa nyuma na watu wasio julikana[emoji124] [emoji124] [emoji124]

Kama baba ako anavyoloweshaa ama nene
 
Usiniguse usinitouch salamu iwe kwa miguuu
We jamaa diamond ni kama maji mzee

Na mwaka huu lazima uchuchumae
 
ni kweli mtoa post alikuwa sahihi...?
 
Najua unatamani ufute uzi huu hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…