Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha yaani hauziki
hahahahahahaaaaa hy bwanaaaaHahaha nawachokoza tu team sandals chakavu
ni kweli mtoa post alikuwa sahihi...?Wengi mnamshambulia mtoa post mwisho katoa ushaur someni kwa makin nyie mnaosifia kila kitu ndo mnaopoteza baadhi ya nyota hapa nchini sio kila afanyacho ni kizuri mengine yafaa kupigiwa kelele ajitathmini sio malaika diamond kwamba hakosei lazima ukosokewe ili uwe bora.
Najua unatamani ufute uzi huu hahahaKama kawaida jini mkatakamba gundu bado linaendelea kuwanyemelea lebo ya WCB ambao wameuanza mwaka huu vibaya kwa kugombana na Clouds media kitendo kilichosababisha nyimbo zao kusikiliza na michepuko yao tu huko Madale Guest house.
Kabla pia hawajaumbuliwa kuhusu biashara ya karanga ,perfume nk kuwa Domo ni balozi tu na si vyake.
Kabla hajapoa katika aibu hizo , akapokea rungu la kichwa kwa kuachwa na mzinzi na mzazi mwenzie Zaribosslady aliyechoshwa na skendo za huyo bwana ,ambaye alikuwa akibeba ukoo wake wote na kuupeleka South kumfanya bibie Zari ashindwe hata kupumua ,na ilifikia hata mama mkwe mama dangote kulazimisha kuvaa nguo za mkwewe, kwa kulazimisha apewe funguo za chumbani kwa Zari ili ajichukulie atakacho (ikiwamo kumwaga ulozi wake)·
Tukio la mahakamani kukatikiwa na malapa na mkanda wa boxer nayo haikuwa dalili njema kwake
Tuachana na hayo, juzi juzi Rayvany na Diamond walipost katika instagram zao wimbo wa Tip toe remix ulioimbwa na mmarekani Jason D ft Reyvavy cha ajabu mwenye wimbo hajapost hata kuuongelea wimbo huo ,lakini wcb kutwa wanaupost ,hapa kuna kitu Domo inabidi ajitathmini ,maana majuzi tu mwanamziki mwingine mmarekani Rick Rose aliamua kumchinjia baharini na kufuta post zake instagram.
Diamond unatakiwa kutubu, angalia unatumia muda mwingi kumpromote huyo Mboso lakini wananchi wamemkataa yeye na wasafi yako. Punguza ujuaji na hao mameneja wako kama vifurushi vya pamba maana unawaponza wasanii wako wasisikike redioni na tvs
alikuwa sahihi kwa lipi?ni kweli mtoa post alikuwa sahihi...?