WCB Waendelea kuchuniwa. Safari hii na mwanamuziki wa nje, Jason Derulo

WCB Waendelea kuchuniwa. Safari hii na mwanamuziki wa nje, Jason Derulo

Yaani nimecheka ulivoandika mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] WCB wakuchukue kama TV presenter kwenye kipindi cha udaku
 
Tip toe aliimba na french montana na push aliimba na rayvany
 
Sidhani hata kama una punje ya mafanikio ya chibu haters acheni kubeba mizigo ya watu....mnavuta sana chini kwa nguvu ila hatarudi...ndio kwanza mambo ni motooo... Nashangaa ohhhh ni balozi wewe hata ubalozi una hadhi ya kuupata na ukaingiza pesa?jibu ni no.....fala wewe fata mambo yako
 
Sidhani hata kama una punje ya mafanikio ya chibu haters acheni kubeba mizigo ya watu....mnavuta sana chini kwa nguvu ila hatarudi...ndio kwanza mambo ni motooo... Nashangaa ohhhh ni balozi wewe hata ubalozi una hadhi ya kuupata na ukaingiza pesa?jibu ni no.....fala wewe fata mambo yako

Povu
 
Technically speaking,hio nyimbo ni cover tu hivyo Justin utakuta hata hajui kama kuna mtz kafanya cover ya wimbo wake....as matter of fact kuna watu kibao waliofanya cover ya tip toe

Angalau umeeleweka
 
mkuu umemaliza kila kitu, huyu mpumbavu asipoelewa ana lake jambo na diamond pamoja na mafanikio yake kiujumla.

Mafanikio yake au mafanikio ya wenzie? Diamond hana anachomiliki zaidi ya suruari ilitokatika zipu
 
Da mange kasema mnamatatizo,mara mtoto sio wake ,nyumba sio yake,karanga sio zake,perfurme sio zake,lkn nikikuambia unipe ushahidi kuhusu unachokiongea hapo hauna,ila reference yako ni Da mange.
Wizkid kafanya collabo na Tyga show your money,tyga hajapost Je wizkid anadharau ? Wenzetu hamna ushikaji ni biashara,hata huyo diamond kupostiwa na Rickross ule ulikuwa mkataba wa kupost kwa mda fulani baada ya hapo wanafuta na hata hizo posti za Belarie nazo zitafutwa baadaya ya mkataba wake kuisha,kwa huyo ni kawaida au hujawahi kuangalia list ya mastaa wanaolipwa kwa kupost insta ,kama sikusoei watu wanaolipwa ela ndefu kwa kupost instagram ni Beyonce na Cristian Ronado ,wenzetu kila kitu ni biashara hamna ushikaji na USHIKAJI NDIO unawaumiza wasanii wa bongo fleva,unapiga tamasha bure kisa ushikaji na Diamond anaonekana ana dharau,kwa sababu anajitambua na hapendi ushikaji yeye ni mfanya biashara wa muziki na ukichunguza maneno yote haya kwasababu watu maslai yao yamebanwa. Kuhusu mahusiano yake na Zari nadhani mimi na ww haya tuhusu na huwa sipendi kuingilia mapenzi ya watu leo na kesho watarudiana alafu ukawa huna cha kuongea.Najua unawaona Clouds kama miungu watu lkn hawa ndio wanongoza kuwatengeneza WASANII MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA ,sababu ya ushikaji .Hebu niambie ww MSANII GANI AMBAYE ALIYESIMAMIWA NA KUPEWA PROMO NA CLOUDS ,ambaye finacial yupo stable? kwa kifupi hayupo refer Barnaba (multi-talented anatunga ,anatunia wenzake ,anavocal na anapiga gita),hivi leo Barnaba ana nini pamoja na promo na misifa anazopewa na Clouds,wasananii wangapi wame walalamikia Clouds ni wanyonjaji ? hatukatai kumsaidia mtu lakini usimnyonye basi kwani hata mbele za mungu haina maana,hata huyo lil wyane ,Birdman ndiye aliyemsaidia lkn ,leo hii Lili wyne baada ya kujua anaibiwa kasitisha kujtoa album mpaka alipwe dola milion 56.Alafu kesho yake Clouds hawa hawa kupitia SHILAWADU wanakuponda huna WAZIFA .Mimi naona Diamond anaonekana ana dharau sababu moja ANAJITAMBUA na pili ni MFANYABIASHARA,ndio hapo anaonekana anadharau kwasababu washikadau wengi wanapenda mambo yaende KISHIKAJI.Nakusu kushuka Diamond kushuka atashuka zamu yake ikifika(na hamna msanii atayekuwa namba moja milele hata upewe promo kila sekunde utashuka tu ),ila si kwa sasa ,kwani ww si wa kwanza humu JF kumtabiria dogo kushuka,tokea 2013 humu jamii forum kuna uzi kama mia zinazofana na huu wako ,lkn Dogo kila siku anawaprove watu yupo sahihi.Alafu dunia ya sasa hivi vitu vingi watu wanashare,Facebook mark anamiliki 28% ,hizo 72% ana miliki nani ,lkn leo hii facebook inafahamika kama ya mark.Tidal tunasema ya Jay Z,lkn ukisoma kuna wasanii zaidi ya kumi wana share pale tidal (Kanye west ,J cole,Drake,Nick minaj,Lil wyne nk ) au Jezi zile wanazovaa MAN UTD ni za addidas au za MAN au zile anazovaa Arsenal PUMA ni za puma au aresnal au bidhaa za Jordan ni za NIKE au za Michael Jrdani,ukiweza kujibu hili ndio utaelewa Diamond karanga ,Chibu perfume ni ya nani.Ila ktk maisha hamna kitu kizuri kama KUJITAMBUA na KUJIAMINI na kujua UNATAKA NINI.


Hongera Lukamba official umejitahidi kutema pumba zako
 
Mwandishi punguza kura karanga afu usi zime taa wakati wa kulala naona una tatzo la kuloweshwa nyuma na watu wasio julikana[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom