Mi nmeshtuka kabisa hahahaHalafu hapo kwa rich mavoko sijaelewa ,inakuaje ameingia kama new artist?
Na kweli anaishi kwa kushow off insta. Kila siku kupiga picha offisini, Ashukuru Mungu Ivan kafa, la sivyo picha za ofisini angezisikia tu.
Ungekuwa unamjua Zari usingekuwa unaongea upupu wote huo.
Tena nina wasiwasi umeanza kumjua zari baada ya kutoka na Diamond.
Tuma na washindan wao ndo itakuw pwKundi la WCB wasafi wameng'ara kwenye tuzo za
African Enternaiment Awards USA(Marekani) kama ifuatavyo.
•Best Manager of the year-Babu tale
•Best Male Artist of the year-Diamond Platnumz
•People's Choice Awards of the year-Diamond Platnumz
•Best Video of the year-Harmonize-Niambie
•Best Video of the year-Salome-Diamond Platnumz ft Rayvanny
•Best Producer/Director-LizerClassic
•Entrepreneur/Business of the year-Zarithebosslady
•Entrepreneur/Businesses of the year-WCB wasafi
•Best New Artist-Rich Mavoko
•Best Collaboration-Kidogo-Diamond Platnumz ft P-square
•Best International Artist-Diamond Platnumz
•Best Male Single-Natafuta Kiki-Rayvanny
Bonyeza hapa kupiga kura[URL/]
Bonyeza link hapo juu
Link mbon imetolewa hapo juu Maison mwa post
Kabla ya Ivan kufa alikuwa anapigia picha ofisini kwa Dai huku kashika mouse🙄🙄Na kweli anaishi kwa kushow off insta. Kila siku kupiga picha offisini, Ashukuru Mungu Ivan kafa, la sivyo picha za ofisini angezisikia tu.
Hahahahaha, jamani umenichekesha.Kabla ya Ivan kufa alikuwa anapigia picha ofisini kwa Dai huku kashika mouse🙄🙄
Alishiriki?Ali kibakuli masikini weeee ,ndo basi tena