WCB Wasafi Nzima Wameng'ara Kwenye Tuzo Za Aeausa-Marekani Pamoja Na Zarithebosslady

WCB Wasafi Nzima Wameng'ara Kwenye Tuzo Za Aeausa-Marekani Pamoja Na Zarithebosslady

Na kweli anaishi kwa kushow off insta. Kila siku kupiga picha offisini, Ashukuru Mungu Ivan kafa, la sivyo picha za ofisini angezisikia tu.

unakumbuka alikua akipiga mlangoni alafu anarudi kulala... maana baada ya hapo ofisi haikuwahi onekana yule dada muongo sana
 
Ungekuwa unamjua Zari usingekuwa unaongea upupu wote huo.

Tena nina wasiwasi umeanza kumjua zari baada ya kutoka na Diamond.

Zari tu namjua toka anaimba mpaka ITV walikua wako muonyesha miaka hiyo ya 199+ baada ya nini letu kulikua na Kipindi cha mziki [emoji13][emoji13]
 
Kundi la WCB wasafi wameng'ara kwenye tuzo za
African Enternaiment Awards USA(Marekani) kama ifuatavyo.

•Best Manager of the year-Babu tale
efaa25d45e517d693c15f5bf40bb9e04.jpg

•Best Male Artist of the year-Diamond Platnumz
c824fd55632ce40cb26e495db314d913.jpg

•People's Choice Awards of the year-Diamond Platnumz
8a456a33d72fc1fc363d1b571ab23965.jpg

•Best Video of the year-Harmonize-Niambie
0f42b1bec20b58615f9be39078091bb6.jpg

•Best Video of the year-Salome-Diamond Platnumz ft Rayvanny
05729b6239758f18dc7490123c8251d0.jpg

•Best Producer/Director-LizerClassic
39d6ac58336055bb4af9200a5a0dc823.jpg

•Entrepreneur/Business of the year-Zarithebosslady
bd94845ce681eee6f0b1ba6daafcb8ec.jpg

•Entrepreneur/Businesses of the year-WCB wasafi
836819f0e80c60192e2aff9c608943a5.jpg

•Best New Artist-Rich Mavoko
8ae483aa367b2fc31c0bfa89a7f1402e.jpg

•Best Collaboration-Kidogo-Diamond Platnumz ft P-square
70d68c64bd2d3e0e8fd0d709c0326c75.jpg

•Best International Artist-Diamond Platnumz
14b95613178d79ec819eee00a3bb3c42.jpg

•Best Male Single-Natafuta Kiki-Rayvanny
03270698ec0acbf639969fc1b1b17369.jpg

Bonyeza hapa kupiga kura[URL/]
Tuma na washindan wao ndo itakuw pw

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kweli anaishi kwa kushow off insta. Kila siku kupiga picha offisini, Ashukuru Mungu Ivan kafa, la sivyo picha za ofisini angezisikia tu.
Kabla ya Ivan kufa alikuwa anapigia picha ofisini kwa Dai huku kashika mouse🙄🙄
 
mi team Mondi ila hapa mmmh!!! kuna ka harufu ka kununua nominations hapa. wcb wamenunua nomination haiwezekani. na wakichukua zote najitoa JF.
 
Haya sasa pazia limefunguliwa uwanja upo wazi ni ku vote tuu [HASHTAG]#voteeeee[/HASHTAG] Tanzania+Wcb = the world
 
Back
Top Bottom