WCB Wasafi Nzima Wameng'ara Kwenye Tuzo Za Aeausa-Marekani Pamoja Na Zarithebosslady

WCB Wasafi Nzima Wameng'ara Kwenye Tuzo Za Aeausa-Marekani Pamoja Na Zarithebosslady

64eac102a3a5b732f7ce73b3c6fb3c72.jpg
na ya mwisho ni hiyo mkuu umesahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia vizuri ndugu.
 
Hizi ni kama zawadi za birthday wala si Tuzo za msanii kujivunia ..hao waandaaji inabidi wapimwe mkojo au kinyesi
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Sasa Zari ana ujasiriamali gani jamani?Alikuwa anahojiwa na Sporah kwenye Sporah show akaulizwa anafanya kazi gani akabaki anajikanyaga mara oh mi ni promota mara oh nina duka la nguo...Kama ni Brooklyn College ameanza kuimanage thisyear baada ya kifo cha mmewe...Hapa kwake kuna uwalakini haki ya nani
 
Hizi tuzo nyingine ndiyo naziskia leo sijui za wapi na wanapeana wapi...
Anyway all the best WCB
 
Back
Top Bottom