Bantu Mhagama
Senior Member
- Feb 15, 2017
- 104
- 127
Jibu ni muhimu mkuu, nimepata kusikia kuna kipindi kinaitwa shilawadu na rais wetu anakifuatilia kweli..Mkuu umekusudia kuuliza hili swali au unataka ujibiwe tu?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Au Mange?Magu John au Magu yupi?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1]Jibu ni muhimu mkuu, nimepata kusikia kuna kipindi kinaitwa shilawadu na rais wetu anakifuatilia kweli..
Sasa mie nilidhani hicho kipindi kinahusu mambo mazito yanayolenga kulikomboa taifa kiuchumi na kijamii sasa ndio nimefungua huu uzi na kukuta kumbe ni watoto wanapigiana simu kuchunguzana kuhusu uzinzi..
Hapo ndipo nilipochoka.. Au hicho anachofuatilia sana mkuu ni kingine?