WCB Wasafi wafukuza Kifesi na Q Boy baada ya kutoka na gari la Zari

Anko Magu leo atawapigia cm wenyewe kina sudi brown....anampumzisha baby kabaye.
 
Mkuu umekusudia kuuliza hili swali au unataka ujibiwe tu?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jibu ni muhimu mkuu, nimepata kusikia kuna kipindi kinaitwa shilawadu na rais wetu anakifuatilia kweli..

Sasa mie nilidhani hicho kipindi kinahusu mambo mazito yanayolenga kulikomboa taifa kiuchumi na kijamii sasa ndio nimefungua huu uzi na kukuta kumbe ni watoto wanapigiana simu kuchunguzana kuhusu uzinzi..

Hapo ndipo nilipochoka.. Au hicho anachofuatilia sana mkuu ni kingine?
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1]
 
Wewe jamaa unakera na utafutaji wa traffic kwenye chanel yako ya youtube
 
Aliyekuwa mtu wa mitindo wa Diamond Platnumz pamoja na team mzima ya WCB, Q Boy Msafi amefunguka kueleza kile kilichosababisha akapigwa chini kufanya kazi ndani ya label hiyo. Pia amefunguka kuhusu mahusiano yake ya sasa na WCB pamoja na mipango ya muziki wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…