sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Linaletwa balaa jipya mjini, naweza sema ile kiu ya kuona wasanii wetu kwenye majukwaa mazito kama kima Rema sasa inaenda kukatwa. Topnotch talent sio mbambamba.
Let's count
God bless WCB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NGOJA TUONEView attachment 2799259
Linaletwa balaa jipya mjini, naweza sema ile kiu ya kuona wasanii wetu kwenye majukwaa mazito kama kima Rema sasa inaenda kukatwa. Topnotch talent sio mbambamba.
Let's count
God bless WCB
Karibu kwa burudaniNGOJA TUONE
baridaaKaribu kwa burudani
wanakwambia amapiano ndio soko watu wanatakaAmapiano ziwe chache Kwenye ngoma za mwanzo atakazoachia mkuu c anachia nyimbo Tano nne amapiano .
Ikiwa Diamond hadi sasa hajaweza kumfikia huyo “Rema” sasa itawezekana vipi kwa huyo mpya?😂😂😂😂😂
Linaletwa balaa jipya mjini, naweza sema ile kiu ya kuona wasanii wetu kwenye majukwaa mazito kama kima Rema sasa inaenda kukatwa. Topnotch talent sio mbambamba.
Let's count
God bless WCB
Hivi mkuu Salam SK bado yuko kwenye management ya WCB? Maana simwoni sana kwenye safari zao wala usemaji?
Linaletwa balaa jipya mjini, naweza sema ile kiu ya kuona wasanii wetu kwenye majukwaa mazito kama kima Rema sasa inaenda kukatwa. Topnotch talent sio mbambamba.
Let's count
God bless WCB
Kumfikia kwenye nini?Boss kashindwa kumfikia rema ,signee hataweza?
Rema alifunikwa trace awards na diamond.Mkuu hata chai umekunywa kweli? Boss wako mwenyewe kaishia kusema yo yo mikono hewani pale Trace awards, umeangalia hiyo perfomance ya Rema kwenye tuzo za balon d'or?
Usipanic mkuu shughuli ndio kwanza haijaanza, umenifahanu!?!? 😊Naye si mwingine anayeenda kutambulishwa bali ni sinza pazuri
Unachekesha sana mkuu.Rema alifunikwa trace awards na diamond.
Hiyo lip syncing ya kwelye ballon dior ndio imekustua? Hata wewe unaweza ile.
This time mtashuhudia biashara tofauti kabisa na mazoea. Muziki asili wa kitanzania unapelekwa duniani.Amapiano ziwe chache Kwenye ngoma za mwanzo atakazoachia mkuu c anachia nyimbo Tano nne amapiano .
Majukwaa kama kina rema eehh......... sawa tupo tutaona
Linaletwa balaa jipya mjini, naweza sema ile kiu ya kuona wasanii wetu kwenye majukwaa mazito kama kima Rema sasa inaenda kukatwa. Topnotch talent sio mbambamba.
Let's count
God bless WCB