FacyAondoke huyo ameishiwa, ameona madogo kina Lavalava na Mbosso wameuwasha moto kaona aanze kulia
Sent using Jamii Forums mobile app
FactAondoke huyo ameishiwa, ameona madogo kina Lavalava na Mbosso wameuwasha moto kaona aanze kulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uhandishi kama kabanwa na maviushidani wa kutoa nyimbo kutoka wasafi records. Rich Mavoko malalamiko yake inaonyesha kuwa upedeleo kati ya wale wanaopewa kibao katika lebo hiyo. Rich Mavoko lazima ajiondoae kwenye lebo hiyo aikoe career yake ya muziki.C.E.O wa lebo ya WCB Wasafi Diamond Platinumz hajafanya lolote kuhusu malalamiko yake inaonyesha hana uongozi mzuri.View attachment 845456
sawa kifimbo cheza
kunywa kwanza majiushidani wa kutoa nyimbo kutoka wasafi records. Rich Mavoko malalamiko yake inaonyesha kuwa upedeleo kati ya wale wanaopewa kibao katika lebo hiyo. Rich Mavoko lazima ajiondoae kwenye lebo hiyo aikoe career yake ya muziki.C.E.O wa lebo ya WCB Wasafi Diamond Platinumz hajafanya lolote kuhusu malalamiko yake inaonyesha hana uongozi mzuri.
Hawezi kukupa jibu, may be uniulize Mimi.mtoa mada nipe sababu tano za "kwann wachangiaj weng wanasema hawajaelewa ulichoandika wakat we mwenyewe umeelewa ulchoandika"
haya ndo nmekuulza wewe sasaHawezi kukupa jibu, may be uniulize Mimi.