WCB wawapa kichapo Shilawadu

Mwanaume unakuwa mmbea hata mimi ningewapa kichapo. Huwezi ukawa mwanaume halafu ukawa mmbea. Ni bora tu wavae sketi wajiunge na vikundi vya kuchamba vya akina dada tujue moja.
mwenzio analipwa kutokana na kazi hiyo
 
Hahahaaaa mange kiboko mitama double double anageukia hewani......Hii movie sasa naona kawa mkandala kma sio Murphy sio kwa chumvi hii
 
Mwanaume unakuwa mmbea hata mimi ningewapa kichapo. Huwezi ukawa mwanaume halafu ukawa mmbea. Ni bora tu wavae sketi wajiunge na vikundi vya kuchamba vya akina dada tujue moja.
Nilitegemea wangevunjwa mbavu au uti wa mgongo ili wajue umbea una mipaka....
 
Mwanaume unakuwa mmbea hata mimi ningewapa kichapo. Huwezi ukawa mwanaume halafu ukawa mmbea. Ni bora tu wavae sketi wajiunge na vikundi vya kuchamba vya akina dada tujue moja.
Umethibitisha vipi kama wale ni wanaume? Unazijuwa sifa za mwanaume ukiacha ya madhine?
 
wakome. ndio wajue kuwa iyobo ni wa mwananyamala
 
Cha kunishangaza hawa SHILAWADU sijasikia wameenda kumuhoji P Funk, wao kila siku na kina Nuhu Mziwanda tu.
 
Umbea wa soudy unatia hasiraaa....ni mbea yule kaka hapana.

ila ubuyu wap ni mzuri kwa afya zetu wengine ila wahusika lazima wachukieee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…