WCB wawapa kichapo Shilawadu

clouds inajipendekeza WCB... ruge alimtosa diamond THT mwaka 2007... leo anatamani hata awe meneja wake
ndio mnavyojidanganya? siku wcb wakiwazingua clouds ndio utakuwa mwisho wa wcb... waambieni wajaribu
 
hatimaye...
Ila huyo mkata viuno yatamkuta
 
Wange watengua hata pua.
 
Kama ni kweli Iyobo kawadunda wote Kwisa na soud basi Shilawadu waanze kwenda Gym.
 
Hakuna mahali Shilawadu wamepewa kichapo, zaidi ya utoto aliyoufanya huyo jamaa waliyetaka kumuhoji...

Na hata demu wa huyo jamaa alishapigiwa simu na kuwaomba msamaha hao Shilawadu kwa niaba jamaa wake...


Cc: mahondaw
 
I’m on the way
We ain't got no time to waste
Popping your gum on the way
Am I in the way?
I don't want to pressure you none
I want your blessing today
Oh by the way, open the door by the way
Told you that I'm on the way
I'm on the way, I know connection is vague
Pick up the phone for me babe
Dammit, we jammin'
 
Wabongo bana we wape title, main topic wataweka wenyewe.
Ki uhalisis wala hata hakukua na physical contact kati ya Mose na kina Sudi, ni Gari alilokua akiendesha Mose ndilo lililowagonga kina sudi, sasa hivyo vichwa na mitama vimetokea wapi??
Au gari siku hizi linapigaga vichwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…