WCB ya Diamond,kilefu na maana yake

Mbona Bad Boys ya Diddy ilikua na wanawake?sema uwezo wa kujieleza mngeulizwa kama boys mbona ina wanawake ndo majanga

Huko mbali sana, muulize mbona big brother huwa kuna wanawake tena hata akishinda anakua mshindi wa big brother? Halafu baby ni mtoto ki maana halisi.
 
shoga yake ommy dimpozi katoa siri show za ughaibuni wanalipwa hela kiduchu bora hata ufanye show dar live mbagala...sasa nakuswalika swali ww unaemfunga zipu kabla ya show huyo mmanyema analipwa hela ngapi kwa show?

Nitake radhi kwanza kwa kunitusi.
na kwa faida yako nikujuze tu kuwa.
kwa show za nje pekee.
Bila million 15 hujamchukua na hakunaga nipunguzie..na maombi anapata kila uchwao.
ni yeye tu huchagua aende wap
so ingekuwa show zake hazilip..yani mtu anatoa mamilion yake na anaambulia hasara,
show zingekua zishakatika.
lakin kila cku nje wanamtfuta na dau lake hupanda kila baada ya mda kama bei ya mafuta.
wabish kaz kwenu.
 
Chukua basi hata robo ya mshahara wako huo ... Uende japo shule ya wiki moja aseeeh
naona bado saaana
 
ukiona wafanya kitu na watu hawakuchukii
fahm uko chini sana zaid yao.
ukiona wakuchukia na kukupakaza fahm upo kwenye pick ya juu sana.they wish wangekuwa wao but.
hawawez wanishia kukusemea mbovu na kupakaza hta wasivyoviju .

Mkuu hizi changamoto unazokabiliana nazo hapa zinakatisha tamaa sana kiukweli cuz watu wanashindwa kukubali kile unachokifanya daily,any way najifunza kwako namna ya kukabiliana na hawa walimwengu,all the best ktk kazi zako,pia usikate tamaa kamwe zidi kusonga mbele,ipo siku utaeleweka tu and more promising they will acknowledge what you have been doing so far.
 
Huyu jamaa mwanzisha mada atakuwa anashambuliwa daily.Uandishi wake unakera na hata anaposifia hajui kusifia kwa mantiki.Aina hii ya uandishi unafaa Facebook sio humu.Sidhani JF watu huamua tu kumchukia mtu bali uandishi na namna unavyojibu hoja ndio huzaa matusi.
Huyu kijana atanyooka tu na kuwa mwandishi mzuri maana JF ni shule kuna watu wamejifunza siasa JF na namna ya kujenga hoja hadi wamekuwa wabunge.
 
Yaani habari zako za Diamond zinachosha yaani mpaka unamchuja mwenzio, hunaga ma story mengine ya kuandika? Ukilala Diamond, ukiamka Diamond aaaggrrrrrrrhhh, na sisi tukianza kuweka story za mabosi wetu hapa patatosha??
 
wewe ungekuwa kijakazi wangu ningeshakufuza kazi cku nyingi2.Hivi seriously hii ndo kazi aliyoku2ma dai domo?unazingua,huku ndo kummarket bosi wako?.Wewe kuna kazi zngine za kisirisiri unazomfanyia bosi wako(labda kumfulia boxer..kumasage.,kumtafti videm etc)
 
Yaani habari zako za Diamond zinachosha yaani mpaka unamchuja mwenzio, hunaga ma story mengine ya kuandika? Ukilala Diamond, ukiamka Diamond aaaggrrrrrrrhhh, na sisi tukianza kuweka story za mabosi wetu hapa patatosha??

Kama zinakuchosha ni kitu gani kinachokufanya una-Comment/Reply? Kwanini usiipotezee? Au umelazimishwa ku-Comment kwenye kila thread?

Habari inakuchosha ndiyo ukahangaika kuifungua hadi na ku-Comment/Reply? Unakuwa na chuki bila ya sababu mpaka unajionyesha hadharani kabisa.

Kwa mtu ambaye ni kweli hizi habari za Diamond zinamchosha asingeweza hata kuifungua hii thread achilia mbali ku-Comment/Reply.

Miaka ya nyuma Yahoo kulikuwa na wapuuzi kama wewe wanaohangaika kufungua link na kuisoma halafu wanaanza kutoa povu kama ulilolitoa. Siku hizi wamesharekebishwa na wadau wa Yahoo na hii tabia imeisha.

Hao ma-Boss zako kama ni celebrities waanzishie thread hakuna aliyekukataza.

Unaona hii thread imepata views ngapi? Unaona idadi ya views na idadi ya comments/replies? Angalau hao walioiangalia na kuondoka kimya-kimya ndiyo wanaweza kusema hizi habari za Diamond zimewachosha.

Get a life kid.
 

Ahsante mkuu,wanaelewa sana ndiyo hvyo mtanzania hususan maskin ni mgum sana kukubal kizuri alichofanya mtu
 

Cjui alitaka niwe naweka taarifa za watu hata wasionihusu??kwa faida ipo?
na istoshe wapo weng wanaopenda kufaham habari za celebriy wao daily.
umemjibu vizuri sana mkuu.
 
Dah!:A S 39:

Kweli kama Diamond anakulipa kumpigia promo halafu akutane na bandiko kama hili ambalo halieleweki atasikitika sana..lakini kama nae anauelewa vinginevyo kama yuko kama wewe ataona ni sawa tuu. Mpangilio wa habari ni mbovu, kiswahili sio fasaha, umeanzia mwisho ukarudi kati ukamalizia na mwanzo. kabla hujaweka bandiko hapa lipitie na uone kama linasomeka na kama litafikisha ujumbe au kueleweka kwa wasomaji. Pia zingatia ushauri na maoni yanayotolewa hapa, acha kujiona unafahamu kila kitu na uko sahihi kwa ulichoandika, JF sio kijiwe cha kahawa, kina watu wenye uelewa na upeo wa kuchanganua na kuelewa habari zaidi yako. Nasema hivyo kwani naona ushauri unaopewa unachukulia kama chuki. Ni hayo tuu
 

He's very busy kid. Sidhani ata kama ile iPhone yake anaingiliaga mtandaoni. Kitengo cha kusoma Email, a/c za fb, twtr, inst, blog ya wasafi etc zoote kashikiria Afisa wa Matangazo WCB, Mh. Andrew aka Heaven on desert.

Mweh.
 
Mnasema walimu wana mazingia magumu ya Kazi. Je, huyu muanzisha mada asemaje.?
 

WCB Wasafi Classic Baby???? Doesn't make any sense.....mtunzi wa jina hayuko serious. Sitashangaa kama ni product ya Mulugo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
He's very busy kid. Sidhani ata kama ile iPhone yake anaingiliaga mtandaoni. Kitengo cha kusoma Email, a/c za fb, twtr, inst, blog ya wasafi etc zoote kashikiria Afisa wa Matangazo WCB, Mh. Andrew aka Heaven on desert.

Mweh.

Duuh wanfaham had kwa jina!!hebu ni PM
 
Kwani alichokosea ni nini?tufike sehemu tukubali vya nyumbani,ebu tujifunze kwa wenzetu Wanigeria jinsi wanavyopromote vitu vyakao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…