We amini Mungu yupo tu inatosha. Ona yule kiboko ya wachawi anavyowacheka watanzania kuwa ni mazezeta

We amini Mungu yupo tu inatosha. Ona yule kiboko ya wachawi anavyowacheka watanzania kuwa ni mazezeta

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Mi nilikuwa Mkatoliki baada ya kuona ni ukoloni na utumwa nikaamua kuachana na kwenda kanisani kabisa japo namuomba Mungu ki vyangu vyangu.

Imagine Mapadre au Maaskofu wana pesa mpaka za kuhonga wanawake na wengine wanashinda bar wakinywa bia na shisha lakini waumini ndo wanakamuliwa kwa sadaka na michango. Sasa huu si ni upumbavu.

Halafu wengi wao wanalogana sana kutafuta Uaskofu ila sisi tunadanganywa eti Mungu ndo kamchagua Askofu kimbe Ndumba tu.

Soma Pia: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha

Ndo mana makanisa imekuwa kichaka cha kupiga hela kila mtu anafikilia kuanzisha dini. Akina Masanja wanajipigia mipesa tu. Hata MCPilipili eti naye kaanzisha.

Shtukeni jamani aminini Mungu yupo tu inatosha
 
Mi najisemeaga kimono moyo Mungu atanisamehe tuu...Kwa maana Kwa maisha ya sasa huwa siamini Msikiti wala Kabisa.Ni ushirikina Tu.
Kama kweli nitamkuta ntamwambia ukweli kwamba nlikosa Nguvu ya kukuabudu Kwa maana sikujua njia ipi ni sahihi.Na wewe hukunionesha njia ipi sahihi bila kupitia Mtu au Watu.Na hao Watu wenyewe sikuwaamini Kwa mate do na Maneno yao.

Kwa kuwa ni Mungu mwenye huruma na kusamehee naomba Msamaha wako Mungu wangu.
Lakini si Kwa wale mashekhe na wachungaji wale katika songombingo lile
 
Mungu yupo popote na si Kanisani au Msikitini tu. Hata hivyo imani thabiti ni muhimu kuliko kutangatanga kwenye imani.
 
Mi nilikuwa Mkatoliki baada ya kuona ni ukoloni na utumwa nikaamua kuachana na kwenda kanisani kabisa japo namuomba Mungu ki vyangu vyangu.

Imagine Mapadre au Maaskofu wana pesa mpaka za kuhonga wanawake na wengine wanashinda bar wakinywa bia na shisha lakini waumini ndo wanakamuliwa kwa sadaka na michango. Sasa huu si ni upumbavu.

Halafu wengi wao wanalogana sana kutafuta Uaskofu ila sisi tunadanganywa eti Mungu ndo kamchagua Askofu kimbe Ndumba tu.

Soma Pia: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha

Ndo mana makanisa imekuwa kichaka cha kupiga hela kila mtu anafikilia kuanzisha dini. Akina Masanja wanajipigia mipesa tu. Hata MCPilipili eti naye kaanzisha.

Shtukeni jamani aminini Mungu yupo tu inatosha
Soma Waebrania 12:1-2 lakini huamini ili kumuangalia askofu au mchungaji au muumini mwenzio, jitahidi sana kufahamu kwa nini wewe ni MKRISTO nini kimekufanya uamini..itakusaidia!
 
Mi nilikuwa Mkatoliki baada ya kuona ni ukoloni na utumwa nikaamua kuachana na kwenda kanisani kabisa japo namuomba Mungu ki vyangu vyangu.

Imagine Mapadre au Maaskofu wana pesa mpaka za kuhonga wanawake na wengine wanashinda bar wakinywa bia na shisha lakini waumini ndo wanakamuliwa kwa sadaka na michango. Sasa huu si ni upumbavu.

Halafu wengi wao wanalogana sana kutafuta Uaskofu ila sisi tunadanganywa eti Mungu ndo kamchagua Askofu kimbe Ndumba tu.

Soma Pia: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha

Ndo mana makanisa imekuwa kichaka cha kupiga hela kila mtu anafikilia kuanzisha dini. Akina Masanja wanajipigia mipesa tu. Hata MCPilipili eti naye kaanzisha.

Shtukeni jamani aminini Mungu yupo tu inatosha
Umechemka sana unapolihusisha Kanisa Katoliki na hao matapeli wako. Michango mingi tuyachangia Wakatoliki inaenda kwenye ujenzi wa miundombinu ya Kanisa, au ujenzi wa huduma za kijamii!

Na siyo kwa ajili ya Mapadre kunywea pombe na kuvutia shisha. Na ikitokea Mapadre wachache wakakengeuka, bado hawawakilishi Mapadre wote ndani ya Kanisa.
 
Tangu niachane na story za dini maisha yangu yameimarika sana, nikikumbuka enzi hizo natoa fungu la kumi pesa inaingia kwenye akaunti ya kanisa ni bora hizo pesa ningezitumia kwenye kula bata tu. DINI NI SIASA YA UTAPELI
 
Mi nilikuwa Mkatoliki baada ya kuona ni ukoloni na utumwa nikaamua kuachana na kwenda kanisani kabisa japo namuomba Mungu ki vyangu vyangu.

Imagine Mapadre au Maaskofu wana pesa mpaka za kuhonga wanawake na wengine wanashinda bar wakinywa bia na shisha lakini waumini ndo wanakamuliwa kwa sadaka na michango. Sasa huu si ni upumbavu.

Halafu wengi wao wanalogana sana kutafuta Uaskofu ila sisi tunadanganywa eti Mungu ndo kamchagua Askofu kimbe Ndumba tu.

Soma Pia: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha

Ndo mana makanisa imekuwa kichaka cha kupiga hela kila mtu anafikilia kuanzisha dini. Akina Masanja wanajipigia mipesa tu. Hata MCPilipili eti naye kaanzisha.

Shtukeni jamani aminini Mungu yupo tu inatosha
UNA Hoja Usipuuzwe
 
Mi nilikuwa Mkatoliki baada ya kuona ni ukoloni na utumwa nikaamua kuachana na kwenda kanisani kabisa japo namuomba Mungu ki vyangu vyangu.

Imagine Mapadre au Maaskofu wana pesa mpaka za kuhonga wanawake na wengine wanashinda bar wakinywa bia na shisha lakini waumini ndo wanakamuliwa kwa sadaka na michango. Sasa huu si ni upumbavu.

Halafu wengi wao wanalogana sana kutafuta Uaskofu ila sisi tunadanganywa eti Mungu ndo kamchagua Askofu kimbe Ndumba tu.

Soma Pia: Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha

Ndo mana makanisa imekuwa kichaka cha kupiga hela kila mtu anafikilia kuanzisha dini. Akina Masanja wanajipigia mipesa tu. Hata MCPilipili eti naye kaanzisha.

Shtukeni jamani aminini Mungu yupo tu inatosha
We hukujua kilichokupeleka, umbea na husda tu. Sema na akili pia huna.
 
Mi najisemeaga kimono moyo Mungu atanisamehe tuu...Kwa maana Kwa maisha ya sasa huwa siamini Msikiti wala Kabisa.Ni ushirikina Tu.
Kama kweli nitamkuta ntamwambia ukweli kwamba nlikosa Nguvu ya kukuabudu Kwa maana sikujua njia ipi ni sahihi.Na wewe hukunionesha njia ipi sahihi bila kupitia Mtu au Watu.Na hao Watu wenyewe sikuwaamini Kwa mate do na Maneno yao.

Kwa kuwa ni Mungu mwenye huruma na kusamehee naomba Msamaha wako Mungu wangu.
Lakini si Kwa wale mashekhe na wachungaji wale katika songombingo lile
Hii point yako ya maana sana. Huo utunuo wake angekupa wewe mwenyewe direct kuliko kupitia manabii hususani kwa wimbi hilibla utapeli.
 
Umechemka sana unapolihusisha Kanisa Katoliki na hao matapeli wako. Michango mingi tuyachangia Wakatoliki inaenda kwenye ujenzi wa miundombinu ya Kanisa, au ujenzi wa huduma za kijamii!

Na siyo kwa ajili ya Mapadre kunywea pombe na kuvutia shisha. Na ikitokea Mapadre wachache wakakengeuka, bado hawawakilishi Mapadre wote ndani ya Kanisa.
Bora umwambie ukweli maana anatapatapa hajui alifanyalo.
 
Back
Top Bottom