OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
TAFADHALI SANA NAKUOMBA U EDIT NA KUONDOA NENO "MPANGO MKAKATI"View attachment 1185427
Mpango mkakati na mchakato wa kujaza uwanja wa Taifa takribani mashabiki elfu 60 umeanza rasmi leo. Jumapili ya wiki hii kwa mara nyingine tena bara Afrika linaenda kushuhudia kandanda saaaafi ya Simba.
Itakuwa ni Simba dhidi ya UD Songo kuelekea mzunguko wa pili wa CAF Champs. Hatuna mashaka na kikosi chetu,ushindi ni lazima.
Kauli mbiu yetu ni WE ARE SIMBA. Tunachokuomba shabiki wa Simba na mpenda soka karibu kujaza uwanja hiyo J2.
Wote tuseme WE ARE SIMBA
Last seen yake lini? Aonewe huruma huyu mtu!!!