Mzee Mwanakijiji, hali hii inatia hasira na uchungu, if hupendi kuwa screwed lakini unakuwa screwed any way, any how. ...................................Kwa vile ma screwer ambao ni wachache wanaenjoy screwing, na kuna wenzetu ambao ni wachache pia wana enjoy being screwed, majory ambao ndio kundi kubwa are either they don't know that they are screwed, ni kama mtindo wa popo bawa, akishamaliza ndipo unashtuka, hivyo they don't know shida zao, umasikini wao, mateso yao, yanasababishwa na screwer................................................................................... Akitokea mtu akawafikishia ujumbe kwa lugha wanaielewa kuwa they are screwed!, they will wake up na kulala macho, kuhakikisha popo bawa haendelezi hako kamchezo kwenye miili yao............................................Lakini kuna wengine wetu, ukiwemo wewe Mzee Mwanakijiji, umeshajua we are being screwed, there is something we can do to stop the scewer, you try to do that to stop them, you realise the few enjoying the screwing, have upper hand, you can either join them and try to stop from within, of fall out and be doomed forever, while screwing goes on.Tufanye nini?.