Raia Fulani hebu niambie hii kitu imekaaje kuhusu Peter mdo 10;10-16 ambapo peter anasikia njaa kali mpaka akapata kizunguzungu akaanza kuota vyakula vya kila aina mpaka haramu vinashushwa. njaa ikiwa kali hata mimi natamani nile chochote kilicho mbele yangu,mana alipokutana na watu wa mataifa fasta akaenda kuwaunga mkono ,akatoa hotuba ndefu sana badae wakamkaribisha kukaa nae .
ndugu zake habari zilipowafikia mdo 11;2-4wakamuuliza kulikon kwenda kujichanganya na wa mataifa na kukaa nao meza(kula) moja peter akaanza kujitetea.
ila kiukweli ilikua ni njaa haikua maono!
kwa kifupi mitume waliamua kujichanganya na watu wa mataifa baada ya wayahudi kuwakataa kwa maana kama ni kweli Yesu aliwaagiza waende kwa mataifa baada ya kufufuka mbona moja kwa moja hawakwenda kwa watu wa mataifa?
ni mpaka walipoanza kuuawa ,kutupwa gerezan ndio wakaanza kusogeasogea kutoa neno kwa mataifa, na bado walikua wanapingana.sasa najiuliza inakuaje mnapingana wakati bwana Yesu alishatoa maagizo muende kwa mataifa?
na njaa ilipozid wakasema vyakula vyote halali