Queenever
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,051
- 3,018
Wewe Dada wa Oriflame vipi jamani, kwani hayo matangazo yako ya Oriflame huwezi kuyaweka kwenye Uzi mmoja?? Chaaa
Kwa taarifa yako hata kama mtu angesoma hasomi sasa, nani anamuda wa kufungua nyuzi zote izo?? Huko oriflame hamfundishwi jinsi ya hata ku advertise biashara zenu? Nimekushangaaa
Sasa nakufundisha .. weka taarifa zote kwenye uzi mmoja ili mtu akisoma anamaliza yote kwa mpigo, la unajichosha tu.
AHSANTE
Kwa taarifa yako hata kama mtu angesoma hasomi sasa, nani anamuda wa kufungua nyuzi zote izo?? Huko oriflame hamfundishwi jinsi ya hata ku advertise biashara zenu? Nimekushangaaa
Sasa nakufundisha .. weka taarifa zote kwenye uzi mmoja ili mtu akisoma anamaliza yote kwa mpigo, la unajichosha tu.
AHSANTE