Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,189
- 6,450
Binadamu siku zote tuna tabia ya kujifariji baada ya kukosa. Wachache sana hukabiliana na Ukweli.
Watu wameumbwa tofaut tofaut kuchagua mwanamke au mwanaume (kwa wadada) mzuri si dhambi. Siyo mnakuwa na waume zenu hao mlio nao halafu mnataka kuzaa na sisi...
Mwanaume umeo mke sura kama chloroquine au mwarobaini...unasema ana tabia nzuri.sawa.unadhani kwa sura yake angekuwa na tabia gani zaidi ya hiyo ili angalau aolewe?
Uzuri nao unachangia sana oa mwanamke mzuri kipindi hiki ili usije babaika ukija pata pesa ukagundua kumbe sasa unaweza pata watoto wakali zaidi.
Watu wameumbwa tofaut tofaut kuchagua mwanamke au mwanaume (kwa wadada) mzuri si dhambi. Siyo mnakuwa na waume zenu hao mlio nao halafu mnataka kuzaa na sisi...
Mwanaume umeo mke sura kama chloroquine au mwarobaini...unasema ana tabia nzuri.sawa.unadhani kwa sura yake angekuwa na tabia gani zaidi ya hiyo ili angalau aolewe?
Uzuri nao unachangia sana oa mwanamke mzuri kipindi hiki ili usije babaika ukija pata pesa ukagundua kumbe sasa unaweza pata watoto wakali zaidi.