wewe yanga wewe, TENA arsenal damu damu!!!
Ukiichukia Azam basi hupendi maendeleo ya soka la Tanzania! Tunahitaji azam nyingine kama tatu hivi, kuondoa ubwege wa Simba na Yanga. Miaka mingi wapo lakini hawana maendeleo yoyote!
No one loves you manchester city also Azam FC!! may be wale wanafiki wasiopenda timu flani ichukue tena ubingwa safari hii na ambao timu yao imepoteza matumaini kabisa!!!
Hivi thread ya man united mbona hatuanzishi au ipo..
Wala, mimi siyo arsenal ila kweli Mimi YANGA NA NEWCASTLE UNITED! Unaweza kuthibitisha kwa post zangu za zamani! Halafu wewe ni Munyama na Man U! Unamkumbuka Demba Ba? Tumesajili nduguye Cisse Ba! Mtatujua!!
Ukiichukia Azam basi hupendi maendeleo ya soka la Tanzania! Tunahitaji azam nyingine kama tatu hivi, kuondoa ubwege wa Simba na Yanga. Miaka mingi wapo lakini hawana maendeleo yoyote!
Acha utararira weweee,unachukia wewe mwenyewe.Wewe kama nanin kuzungumzia fikra ya mtu mwingine??
Mnafiki kubwa wewe usie penda maendeleo ya timu pinzani,kweli wewe si shabiki hata nadhani iyo timu unayotaka ichukue ubingwa.
teh teh sijawah ona mtu asiyeweza kufikiri kama wewe!! wew shabiki gani wa mpira unayependa timu pinzani ichukue ubingwa au umejisikia kutukana tuu. tumia akili kaka, ndio maana ya ushabiki
I hate Man U and Simba Sports as well as Azam FC! LOL.
Kweli kabisa.....
Kweli kabisa.....
No one loves you manchester city also Azam FC!! may be wale wanafiki wasiopenda timu flani ichukue tena ubingwa safari hii na ambao timu yao imepoteza matumaini kabisa!!!