tajuka
Member
- Aug 11, 2018
- 44
- 24
Rais magufuli kiboko! Kawapiga bit Kali wafanyabiashara wa korosho marufuku kununua korosho kwa bei elekezi ,
Asema hachoki kufukuza watu kazi , asema haoni faida za bodi na haoni sababu ya kuwa na bodi inayopanga upumbavu tu !
Then akauliza nani hatonunua korosho kwa bei tunayotaka sisi , wafanyabiashara walioziwakilisha kampuni wakabaki kimya hahahaha
Then kasema kila Mara anaona upumbavu upumbavu tu kuna siku ataifutilia mbali hiyo bodi then wakulima wapeleke korosho kwa watendaji wa vijiji , na wakuu wa wilaya !!!! Hatari kweli kweli
Asema hachoki kufukuza watu kazi , asema haoni faida za bodi na haoni sababu ya kuwa na bodi inayopanga upumbavu tu !
Then akauliza nani hatonunua korosho kwa bei tunayotaka sisi , wafanyabiashara walioziwakilisha kampuni wakabaki kimya hahahaha
Then kasema kila Mara anaona upumbavu upumbavu tu kuna siku ataifutilia mbali hiyo bodi then wakulima wapeleke korosho kwa watendaji wa vijiji , na wakuu wa wilaya !!!! Hatari kweli kweli