The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Baada ya kimya cha Mda mrefu Huyu Mheshimiwa muongo muongo ameanza kujitokeza na ngojera za hapa na pale. Ana tu please mara tuwe na Imani na serikali Sijui Mkataba haujasainiwa. Bla bla
Sasa mpka.mnasaini Mkataba wa makubaliano Kwa Nini hamkuzingatia Sheria na maslahi ya Taifa Toka mwanzo mpaka Watu wameanza kupiga Makelele?.... What if huo Mkataba usingevuja?....Kwani Hao Waliosaini hawakuwa watanzania..Mpaka vipengele vya kijinga kijinga vikaingizwa..............afu unaongelea Watanzania wapi huku Zanzibar haipo kwenye haya makubaliano....
Funny enough huu ndo misingi wa miakataba yote itakoyafuata. watu watakuwa wananyofoa vipannde wanatengeneza hiyo mikataba na TPA....Usitutoe kwenye Reli serikali ilikuwa na Nia ovu sana juu ya Bandari Yetu na usiendelee kudanganya umma.....Mkiri kwamba Mmekosea.
KWA UFUPI HATUIAMINI SERIKALI TENA HATA MKIONGEA HUKU MMMEVUA NGUO HATUTAKI. MAMBO MENGI SANA YA HOVYO YAKO NYUMA YA PAZIA
Sasa mpka.mnasaini Mkataba wa makubaliano Kwa Nini hamkuzingatia Sheria na maslahi ya Taifa Toka mwanzo mpaka Watu wameanza kupiga Makelele?.... What if huo Mkataba usingevuja?....Kwani Hao Waliosaini hawakuwa watanzania..Mpaka vipengele vya kijinga kijinga vikaingizwa..............afu unaongelea Watanzania wapi huku Zanzibar haipo kwenye haya makubaliano....
Funny enough huu ndo misingi wa miakataba yote itakoyafuata. watu watakuwa wananyofoa vipannde wanatengeneza hiyo mikataba na TPA....Usitutoe kwenye Reli serikali ilikuwa na Nia ovu sana juu ya Bandari Yetu na usiendelee kudanganya umma.....Mkiri kwamba Mmekosea.
KWA UFUPI HATUIAMINI SERIKALI TENA HATA MKIONGEA HUKU MMMEVUA NGUO HATUTAKI. MAMBO MENGI SANA YA HOVYO YAKO NYUMA YA PAZIA