We mdada uliyemteka The Boss, mwachie bana..

We mdada uliyemteka The Boss, mwachie bana..

Nipo wakuu.....natazama tu hali inavyokwenda

what if kina Maxence Melo wakishindwa kesi hiyo may?
na ukichukulia mahakama zetu ndo hizi hizi tunazozijua?

naona possibility hata ya JF kufungwa ipo kuubwa
au kulazishwa kuwataja member wanao ikera serikali...

mood ya kuchangia humu inanitoka hasa kama nalazimika
kuwa 'makini' nisichangie vya 'kuiudhi' hii serikali
au thread kubadilishwa heading au kufutwa

but nipo most of time kama guest tu natazama..
after hukumu ya JF hapo May naona ndo ntakuwa more active kama
JF itabaki kama ilivyo....inshalaah...
Amiin mungu atatenda JF itabaki salama.
 
hahaaa yaani umemfcha Jamaa ..mpka huwa anatoa comment zenye maneno mawili tu ""

tukikutana kule kwenye jukwaa la siasa ...watu tunatapika nyongo but yeye anaishia kuandika ....time will tell ..hahaa""


tehteh unasikitisha sana ( in Smart911 voice)
 
Nipo wakuu.....natazama tu hali inavyokwenda

what if kina Maxence Melo wakishindwa kesi hiyo may?
na ukichukulia mahakama zetu ndo hizi hizi tunazozijua?

naona possibility hata ya JF kufungwa ipo kuubwa
au kulazishwa kuwataja member wanao ikera serikali...

mood ya kuchangia humu inanitoka hasa kama nalazimika
kuwa 'makini' nisichangie vya 'kuiudhi' hii serikali
au thread kubadilishwa heading au kufutwa

but nipo most of time kama guest tu natazama..
after hukumu ya JF hapo May naona ndo ntakuwa more active kama
JF itabaki kama ilivyo....inshalaah...
Amen
 
Nipo wakuu.....natazama tu hali inavyokwenda

what if kina Maxence Melo wakishindwa kesi hiyo may?
na ukichukulia mahakama zetu ndo hizi hizi tunazozijua?

naona possibility hata ya JF kufungwa ipo kuubwa
au kulazishwa kuwataja member wanao ikera serikali...

mood ya kuchangia humu inanitoka hasa kama nalazimika
kuwa 'makini' nisichangie vya 'kuiudhi' hii serikali
au thread kubadilishwa heading au kufutwa

but nipo most of time kama guest tu natazama..
after hukumu ya JF hapo May naona ndo ntakuwa more active kama
JF itabaki kama ilivyo....inshalaah...
TOUCHY!
 
Back
Top Bottom