We miss u lara1 where are youuuuuuu!!!!

We miss u lara1 where are youuuuuuu!!!!

Usimbishie
ukimbishia tu utaoga matusi ambayo hujawahi kuyaona
 
Member wa JF ni kama mwezi mchanga vile kuna kipindi utakuta wana-trend then kuna kipindi wanakuwa kimyakabisa alikuwepo jamaa mmoja anaitwa The Bold hapa sasa hivi naona kimya kabisa, wakina Ritz nao naona pia kimya kabisa, Kahtaan nae simuoni pia siku hizi, kuna huyu dada anaitwa Nifah nae simuoni siku hizi. .
 
Wengi wamekula teuzi kwa ile kauli ya JK kuwa na wale wa mtandaoni uwakumbuke.....
Ila @Lara1 sijui mwenzenu
Ila nimeimiss Jf ile
 
Kuna yule jamaa alikua anaitwa Mzabzab kama sijakosea yeye ndo aliuleta msemo wa "kugegeda" "mgegedo" etc sijui yupo wapi
 
JAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.

Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?

lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...
 
JAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.

Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?

lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...
Umemis wake za watu si ndio? Na kama huko kumtafuta kama ni kwa heri kwa nini usimtafute kwenye majukwaa mengine mpaka hili jukwaa hili la mapenzi? Hii ni moja kati ya sababu iliyopelekea nimkataze kuingia humu jukwaani.
 
Mbona wahangaika kumsaka mtu yupo na bae wake anashehereka ujio wa korona kwa kumfanya atombeke mchana na usiku?

Bazazi
JAMANI huyu member ana story zake za mafunzo sana na exposure sijui siku hizi amepotelea wapi.

Na hii karantini angekuja na bonge la story angetusaidia sana. Last time alianzisha story flani akaishia njiani. Hata kwenye michango ya humu ndani simuoni, yupo kweli?

lara 1 jamani upo? Tupe hata MOP moja basi ya kusindikizia karantini jamani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom