We Missomisondo, umepigaje hapo

We Missomisondo, umepigaje hapo

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Nimeamini kila eneo wana vitu vyao vinavyowapa raha na vibe la kufa mtu. Kama nyie Dar mnavibe na akina "Chino wanna man" basi huenda Shinyanga wanavibe na "Ngosha Bhudhagala".

Kutana na huyu DJ Missomisondo kutoka maeneo ya kusini ambaye kwa sasa anatrend sana huko kwenye social networks mbalimbali kwa style yake ya kuvaibisha kwa kuzifanyia remix nyimbo mbalimbali katika miondoko ya mchiriku na singeli.

"We Missomisondo, umepigaje hapoo"


20231122_113724.jpg









 
Guys wanakusini na jamii forum kwa ujumla ,kumekua na trend ya video ya hawa vijana toka kusini ( japo sina uhakika),wakitrend kwa video zao mbalimbali za kucheza muziki.

Napenda kujuzwa hawa vijana wanapatikana hasa wapi kusini huku, je kuna muunganiko wowote kati yao na kina wende kutoka Tunduru ya mkoa wa songea wazee wa Achimwene
 
Ubunifu,safi sana.Umekataje hapo?😀😀
 
Back
Top Bottom