Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! We nae mpana, na hilo umeliona 😆Hayo makoti yao hayajawahi kugusa maji 🤣🤣🤣
Kuna clip moja Missomisondo kainogesha "Honey" cha Zuchu niliiona nikajua jamaa ni kutoka uchugani. With their dressings style jamaa watatambaWe misso missondo umepigaje hapo?View attachment 2827200
Sifa koti na kofia😂😂Hayo makoti yao hayajawahi kugusa maji 🤣🤣🤣
Huyu Dj anapatikana Masasi _Mtwara katika kijiji cha chigugu , Katikati ya masasi mjini na ndanda.Nadhani ...watu wako so interesting zaidi na hao wanaocheza hizo nyimbo hawo wanaovaa Makoti na nahisi mtu akitaka Miso Misondo wengi picha ya kwanza ni hao washikaji wanaovaa hayo Makoti.
Mzee wa bondeni upo?! Swax wako poa? 😂😂Sifa koti na kofia😂😂
🤣🤣🤣 basi nimeachaDuh! We nae mpana, na hilo umeliona 😆
Nigee kaka mawasiliano kumbe kati apo. Ukitoka chikukwe ,mandiwa alafu chigugu aloo wamebarikiwa ndio mana hata chee nkapa kasomea chidyaHuyu Dj anapatikana Masasi _Mtwara katika kijiji cha chigugu , Katikati ya masasi mjini na ndanda.
Hao vijana wanaocheza pia wanatoka kwenye hicho kijiji.
Wanatembea na huyo dj popote anapoenda kupiga kazi , Mawasiliano yapo ,na huyo dj ukihitaji.
Yaani ni kuacha waishi wawezavyo si wengine tudai bandari na kumkomalia Gekul ajiuzuru.Muziki wa singeli una ujinga kama makanisa ya kiroho.. [emoji23][emoji23][emoji1787]
Nimeona vijana wanaambiwa nataka mbaazi wamekuja nazo, kuna wengine sijui vua shati, wanavua, galagala, wanagalagala[emoji23][emoji1787]
Ashakuja dar nimeona e FM wamemchukuaHuyu Dj anapatikana Masasi _Mtwara katika kijiji cha chigugu , Katikati ya masasi mjini na ndanda.
Hao vijana wanaocheza pia wanatoka kwenye hicho kijiji.
Wanatembea na huyo dj popote anapoenda kupiga kazi , Mawasiliano yapo ,na huyo dj ukihitaji.
Ni kweli mkuu, kila mtu aishi impendezavyo.Yaani ni kuacha waishi wawezavyo si wengine tudai bandari na kumkomalia Gekul ajiuzuru.
Kun wakati wanasema live and let die...
Hahahaa ndo maisha mkuu
ChaiJana nilikuwa na Ma Dj mmoja yupo be wasafi na wengine wanagonga Club za masaki.Wakawa wanaulizana Dj Misondo anafanya vipi mixing zake yaani anapigaje wao wanashindwa.
Starehe ni popoteNimeamini kila eneo wana vitu vyao vinavyowapa raha na vibe la kufa mtu. Kama nyie Dar mnavibe na akina "Chino wanna man" basi huenda Shinyanga wanavibe na "Ngosha Bhudhagala".View attachment 2821792
Kutana na huyu DJ Missomisondo kutoka maeneo ya kusini ambaye kwa sasa anatrend sana huko kwenye social networks mbalimbali kwa style yake ya kuvaibisha kwa kuzifanyia remix nyimbo mbalimbali katika miondoko ya mchiriku na singeli.
"We Missomisondo, umepigaje hapoo"
View attachment 2821791
View attachment 2821793
View attachment 2821794
View attachment 2821795
View attachment 2821796
View attachment 2821797
View attachment 2821798
View attachment 2821800
View attachment 2821801
Jamaa wanajua mwananguHuyu jamaa DJ bora mwa mwaka, we miso misondo umepigaje hapo wazee wa makoti jamaa anajua sana.
Hope atafika mbaliDogo ana kitu, nimemkubali na wacheza show wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]