hapo sawaakifika tu naomba selfie
hata nguvu hiyo sikuwa nayo nilibaki tu namtolea macho, afu ana aibu fulani amazing.. ameifanya asubuhi yangu iwe ya baraka..Siku ingine kuwa tayari na peni na karatasi, unaandika na kutafuta mwanya wa kumpa. Wanaume huwa hawapayuki ovyo kama wanawake
Mwambie na wewe ulivaa nini.
alikuwa mweusi?siyo kwa ule mbanano wa mwendokasi,
ningeanzaje sasa.