We mkaka nakutafuta ila nimesahau Id yako.

Nilikuwa nimekuja spidi ila nimekutana na wapuuzi tubaki na upuuzi.wetu nikafyata. Wish you umpate mchepuko wako.
 
Nipo hapa mkuu

Ila mimi nataka iwe zaidi ya biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niweke Avatar ya R Kelly fasta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guys mtu ameshatoa rai kuwa anamtafuta kwa sababu maalum afu still watu wanaleta jokes sio vizuri wakuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuuzi wewe, hii ni CHIT-CHAT babu, masihara ndio mahali pake. Mamie mwali kakamatwa na nyakato...sijui nyegezi kaja kutangaza dili kwa yeyote aliye sharp.

Ngoja mi nigugo picha ya Ara Kweli niifanye iwe avatar yangu nikaonge mzigo
 
Nazama inbox fasta mchepuko wangu. Huenda baada ya kunibania kwa kipindi kirefu, 'leo' umeona unitunuku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…