We mkaka nakutafuta ila nimesahau Id yako.

We mkaka nakutafuta ila nimesahau Id yako.

Mambo, nna shida na wewe ila id yako nmeisahau (nazeeka sasa) na pms nilishafuta, huwa tunaitana "mchepuko wangu" nahisi una avatar ya R kelly

Tafadhali mchepuko ukiona hii msg come kwa pm haraka iwezekanavyo....muwe na siku njema

Nb: nipo serious kuna bishara flani tuliwahi kuongea ndo maana nakutafuta (wapuuzi mbaki na upuuzi wenu)

Update 14:25pm mods naomba mfute huu uzi nshampata, ahsante.
[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom