We mkaka nakutafuta ila nimesahau Id yako.

Pale mwenye akaunti anapohakiwa na baby wake kisha anatafutwa huyo mhisani mchepuko kwa mtego
 
Daaah! Yaani mimi bahati zote zina nipita hivihivi !

kutoka: 22D Arnold st.
 
Bwana shemeji, dada yangu umemtoroshea wapi!???

Bwana shemeji dada yako yuko busy tunaelea mapacha wengine, unajua wale wajomba zako wako shule sasa, hivyo tumeleta wajomba wengine wadogoπŸ˜€πŸ˜€
 
Bwana shemeji dada yako yuko busy tunaelea mapacha wengine, unajua wale wajomba zako wako shule sasa, hivyo tumeleta wajomba wengine wadogoπŸ˜€πŸ˜€


Basi mfikishie salamu zangu za mwaka mpya na hepi besdei..maana njia zote nilizozijua hazijafanikiwa.
 
Basi mfikishie salamu zangu za mwaka mpya na hepi besdei..maana njia zote nilizozijua hazijafanikiwa.

Zimefika Bwashemeji.. Ila na ww umepotea haswa kuleee kwenye lile grp letu lileeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…