๐๐๐Hahaa!! Acha nicheke nifurahi, nikakumbuka hadithi ya "Nani amfunge paka kengele" niliyofundishwa na Mwl Ludao ๐ Mmhh, nyie! Acha kabsaa, ukiachilia mbali ile hadithi ya Mwl Kukome "Sizitaki mbichi hizi".
Ukiachilia mbali maswali yangu niliyouliza kutojibiwa zaidi ya kuambiwa kua uyaone ๐, nilishitushwa na sauti ya rafiki yake Maisha akimwita Maisha, licha ya sauti kubwa aliyokuwa akitumia. Cha ajabu, utamshangaa Maisha, yeye haitiki wala kumfata rafiki yake! Sijui tatizo lilikuwa nini?
Ila pengine rafiki yake Maisha aliona nikikaa na rafiki yangu, nimepata vyote. Cha kushangaza, wapambe wa Maisha ndiyo waliokuwa wakiitika, sio Maisha!! Eee ndiyo ๐ unashangaa nini sasa, kwani hujui Maisha ana wapambe? Tena wengi.
Acha nikutajie wachache: Uongozi, imani, magonjwa, uchumi, na pesa. Hao ni baadhi tu, mmmmhhh! Ulifikiri wameisha? Wapo kwanza, hembu subiri!!! Aaah ๐ nimekumbuka, hata kama chakula ni kitamu sana na kimepikwa kwa ustadi na usafi wa hali ya juu, ukila sana utavimbiwa tumbo. ๐
Kwani rafiki yake Maisha ambaye alikuwa akimwita Maisha ni nani? We!! Uko serious unataka kumjua!!! Aaaah! Achana naye, tuzungumzie wapambe wa Maisha:
Tuanze na huyu mpambe kiherehere "Uongozi".
Ni mfumo wa utawala ambao hutengeneza mifumo na sera mbalimbali za kushikilia Maisha ya rafiki yake Maisha. We! Mimi sijatumia kamusi, nimeongea tu kutokana na mnuno Maisha alipoitwa na rafiki yake.
Anyway, uongozi una viongozi, je, kiongozi ni nani? Mimi mzee wa mifano bwana; kwani nini, usinionee tu kwani ukinisoma utapungukiwa mini. Kwanza hapo ulipo una stress za madeni ๐๐คฃ๐๐. Dereva akiwa anaendesha gari ni kiongozi! Unaonaje akilala wakati anaendesha!! ๐คฉ๐๐ Usipige yowe!::
Kiongozi ni mtu anayeijua njia ambayo watu wanatakiwa kupita. Vipi!!!?
Huku kwetu kuna mmoja kawa kipofu, sisi tukaona kabla yake. Tukamwambia Mh: umekosea njia, akabisha. Sio tukaona sio tabu, tukae chini kaenda peke yake porini. Maendeleo yetu yakadumaa.
Sasa wakati tulipokaa chini, tukaupoteza muda. Tukaanza kujiuliza kilichotufanya tusiendelee kwenda na njia sahihi tulioiona ni nini? Na kwanini tumeshababisha hasara ya muda kiasi kile? Tukajua uzembe, ubishi, kutojali maisha yetu na wanaotutegemea, kumetufanya kuwa wabinafsi, hivyo kusababisha watoto wetu kukosa maisha bora.
Bado tu unataka kumjua rafiki yake Maisha aliyekuwa akimuita Maisha? Nisubiri, nakuja โบ๐.
Ukiachilia mbali maswali yangu niliyouliza kutojibiwa zaidi ya kuambiwa kua uyaone ๐, nilishitushwa na sauti ya rafiki yake Maisha akimwita Maisha, licha ya sauti kubwa aliyokuwa akitumia. Cha ajabu, utamshangaa Maisha, yeye haitiki wala kumfata rafiki yake! Sijui tatizo lilikuwa nini?
Ila pengine rafiki yake Maisha aliona nikikaa na rafiki yangu, nimepata vyote. Cha kushangaza, wapambe wa Maisha ndiyo waliokuwa wakiitika, sio Maisha!! Eee ndiyo ๐ unashangaa nini sasa, kwani hujui Maisha ana wapambe? Tena wengi.
Acha nikutajie wachache: Uongozi, imani, magonjwa, uchumi, na pesa. Hao ni baadhi tu, mmmmhhh! Ulifikiri wameisha? Wapo kwanza, hembu subiri!!! Aaah ๐ nimekumbuka, hata kama chakula ni kitamu sana na kimepikwa kwa ustadi na usafi wa hali ya juu, ukila sana utavimbiwa tumbo. ๐
Kwani rafiki yake Maisha ambaye alikuwa akimwita Maisha ni nani? We!! Uko serious unataka kumjua!!! Aaaah! Achana naye, tuzungumzie wapambe wa Maisha:
Tuanze na huyu mpambe kiherehere "Uongozi".
Ni mfumo wa utawala ambao hutengeneza mifumo na sera mbalimbali za kushikilia Maisha ya rafiki yake Maisha. We! Mimi sijatumia kamusi, nimeongea tu kutokana na mnuno Maisha alipoitwa na rafiki yake.
Anyway, uongozi una viongozi, je, kiongozi ni nani? Mimi mzee wa mifano bwana; kwani nini, usinionee tu kwani ukinisoma utapungukiwa mini. Kwanza hapo ulipo una stress za madeni ๐๐คฃ๐๐. Dereva akiwa anaendesha gari ni kiongozi! Unaonaje akilala wakati anaendesha!! ๐คฉ๐๐ Usipige yowe!::
Kiongozi ni mtu anayeijua njia ambayo watu wanatakiwa kupita. Vipi!!!?
Huku kwetu kuna mmoja kawa kipofu, sisi tukaona kabla yake. Tukamwambia Mh: umekosea njia, akabisha. Sio tukaona sio tabu, tukae chini kaenda peke yake porini. Maendeleo yetu yakadumaa.
Sasa wakati tulipokaa chini, tukaupoteza muda. Tukaanza kujiuliza kilichotufanya tusiendelee kwenda na njia sahihi tulioiona ni nini? Na kwanini tumeshababisha hasara ya muda kiasi kile? Tukajua uzembe, ubishi, kutojali maisha yetu na wanaotutegemea, kumetufanya kuwa wabinafsi, hivyo kusababisha watoto wetu kukosa maisha bora.
Bado tu unataka kumjua rafiki yake Maisha aliyekuwa akimuita Maisha? Nisubiri, nakuja โบ๐.
Upvote
1