We mwanaume unikome!

Heheheeeeeee imebebeshwa mizigo ya bandia tu Ila namba mbili ndo muhusika mwenyewe hasa.
 
njoo kwangu sina kibamia mie ila ubahili mmmmmmmh
 
Mengine ni kuambizana live tuu unless ulikuja mtafuta huku huku, ingawa nayo twaita udhalilishaji tho hujamtaja
 
Huyo ananitukana Mimi. Ili umkomeshe, naomba njoo unichukue!
 
Its was STDIV Mfalme La! Laa Laaa!! Na mangasini alifanikiwa kumletea mfalme, STD III hadithi ya Utanikumbuka itapendeza zaidi kwa Daniela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…